Kwanini usimuonee huruma huyo rafik yako mmbea anayevuta nae bangi ikamuathir had akakosa dhamana ya kuwa yeye kiongozi wa chuo badala yake unamuongelea mtu ambaye kaaminika na kapewa dhamana ya kuongoza kundi la watu. Kwanini tusiseme wewe ndio unavuta bangi had unakosa upeo wa kufikiri na...
Anafanya majukumu yake kama ilivyo awali,au kuna mahala paliyumba ndio ukaamua kuyatafuta haya? Incase yuko standard kwenye majukumu yake,nakushauri endelelea ulipoishia,hapa ulipo patakuua na patapoteza ndoto zako na kizazi chako,na at the end utajuta.
Huyo hana mapenzi na wewe,na anayafahamu madhaifu yako anatumia kama silaha kukufanya anavyotaka! Fanya maamuzi songa mbele,la sivyo utajikuta hauna kitu at the end.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.