Recent content by Im Me

  1. Im Me

    Hivi Lazaro aliyefufuliwa na Yesu, alitoa ushuhuda gani kuhusu kuzimu baada ya kufufuka?

    Kupitia maandiko inaelezwa kua kabla ya yesu kufa na kufufuka, watu walikua wakifa wanaenda kuzimu wakisubiria kiama wakati wa hukumu, na kuzimu ni giza nene (huenda ni kwenye usingizi mzito). Baada ya Yesu kufa alishuka kuzimu kuwachukua wafu (kwaajili ya hukumu) kuanzia hapo mtu ukifa moja...
  2. Im Me

    Je, Mungu atamsamehe shetani?

    Baada ya kuasi
  3. Im Me

    Je, Mungu atamsamehe shetani?

    Lakini maandiko yanasema shetani alikua ni malaika tu, Kwa maana hiyo alikua chini ya Mungu
  4. Im Me

    Je, Mungu atamsamehe shetani?

    Kwa maana hiyo hukumu haitatenguliwa tena?
  5. Im Me

    Je, Mungu atamsamehe shetani?

    Kivipi Mungu na shetani ni kitu kimoja
  6. Im Me

    Je, Mungu atamsamehe shetani?

    Na Mungu je?
  7. Im Me

    Je, Mungu atamsamehe shetani?

    Kosa la uasi
  8. Im Me

    Je, Mungu atamsamehe shetani?

    Ikitokea akatubu je? Bado hatasamehewa?
  9. Im Me

    Je, Mungu atamsamehe shetani?

    Inatafakarisha sana
  10. Im Me

    Je, Mungu atamsamehe shetani?

    Habari wana JF? Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Kwenye maandiko ya dini mbalimbali tunaona Mungu anahamasisha kupendana na kusamehe. Tunatambua kwamba uadui kati ya Mungu na shetani ulitokana na Shetani (Malaika) kumuasi Mungu. Je, ikitokea siku shetani akakubali kukiri na kutubu...
  11. Im Me

    EU yaidhinisha Tsh. Bil.35 kukabili ugaidi mpakani mwa Tanzania na Msumbiji

    Nadhani na Tz tutakua tumeshapeleka wanajeshi mipakani kule, maana hao magaidi wanaroho ngumu wanachinja watu kama wanyama, ni vizuri kujipanga mapema wasiingie Tz
  12. Im Me

    Mstaafu Lema, acha Mama afanye kazi yake

    Usitusemee ambao hatuishi kwa amani
  13. Im Me

    Wajapan kujenga shule ya uhandisi wa tiba jijini Dodoma

    Ni vizuri, itasaidia kama viwango vyao vitakua bora pia
Back
Top Bottom