Kupitia maandiko inaelezwa kua kabla ya yesu kufa na kufufuka, watu walikua wakifa wanaenda kuzimu wakisubiria kiama wakati wa hukumu, na kuzimu ni giza nene (huenda ni kwenye usingizi mzito).
Baada ya Yesu kufa alishuka kuzimu kuwachukua wafu (kwaajili ya hukumu) kuanzia hapo mtu ukifa moja...
Habari wana JF?
Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Kwenye maandiko ya dini mbalimbali tunaona Mungu anahamasisha kupendana na kusamehe.
Tunatambua kwamba uadui kati ya Mungu na shetani ulitokana na Shetani (Malaika) kumuasi Mungu.
Je, ikitokea siku shetani akakubali kukiri na kutubu...
Nadhani na Tz tutakua tumeshapeleka wanajeshi mipakani kule, maana hao magaidi wanaroho ngumu wanachinja watu kama wanyama, ni vizuri kujipanga mapema wasiingie Tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.