Recent content by Ilongailunga

  1. I

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mbona huduma ya Luku inasumbua? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. I

    JamiiForums Tanzania Shule ya Serikali kuagiza Kidato cha Tano wachangie fedha za wapishi na walinzi Tsh.30,000 - hii ndiyo elimu bure?

    Elimu bure inaishia kidato cha nne tu! Uwe unauliza kwanza kabla ya kuleta mada yako. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. I

    JamiiForums Tanzania Mfanyakazi anayeshangilia Ongezeko la Mshahara hajui Hisabati

    Nilikua nakuona mtu makini sana, lakini hoja zako za hivi karibu umedhihirisha kuwa ni mganga njaa tu. Urusi ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa mafuta duniani na soko lake kubwa ni ulaya baada ya vikwazo vinavyotokana na vita ya Ukraine nchi nyingi za Ulaya zimeanza kuagiza mafuta uarabuni hivyo...
  4. I

    JamiiForums Tanzania Kwanini nchi nyingi za Afrika wanatumia lugha za wakoloni kama lugha za taifa, hivi hawaoni aibu?

    Mbona unatumia teknolojia ya kikoloni? Na umevaa nguo za kikoloni?
  5. I

    JamiiForums Tanzania Utajiri wa MO vs BAKHRESA: Vigezo gani hutumika kuwabaini matajiri?

    Kaka usiamini sana haya mambo kuna watu wengi tu sisi tunawaona matajiri kumbe wana biashara za watu.
  6. I

    JamiiForums Tanzania UDSM: Mwanachuo apoteza maisha kwa kujirusha Ghorofani, alifumwa anaiba laptop

    Nyinyi vijana hayo maisha chuoni ni kawaida, mwaka 2006 au 2007 hapo UDSM kuna masela (wanachuo) walikua wanaiba laptop engineering. Kuna siku walienda kuiba pale karibu na NMB baada ya walinzi kuwashtukia jamaa (jina namhifadhi) akaruka kutoka ghorofani ili akimbie akavunja mguu anakadakwa na...
  7. I

    JamiiForums Tanzania KWA MWENDO HUU: Tutegemee Home Shopping Centre kurudi - kazi (iliyositishwa) iendelee!

    Kama yale yalipiga 1.2 trillion
  8. I

    JamiiForums Tanzania Rais Samia atangaza mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu

    Kikwete ni mmoja wa Kiongozi mwenye impact kubwa kwa watoto wa maskini wa Tanzania. Inabidi ashangiliwe zaidi kuliko kuzomewa zaidi.
  9. I

    JamiiForums Tanzania Kombe la mapinduzi linathibitisha namna Simba na Yanga zinavyobebwa na waamuzi wa Bara.

    Jiandae kurudi shule, bado wiki moja tu.
  10. I

    JamiiForums Tanzania James Mbatia: Viongozi wengi wa Serikali wamekumbwa na upunguani wa uelewa wa mambo

    Hoja za Mbatia zilishajibiwa. Kiufupi Mbatia huwa anakuwa mkosoaji mkubwa kiongozi akiwa wa dini flani hivi.
  11. I

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwa Taifa Desemba 8, 2021 kuelekea miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika

    Huwezi kuekelewa umezoea hotuba za kutukanwa na kusimangwa.
  12. I

    JamiiForums Tanzania "Boys 2 Men", kwanini msiiache Tanzania ipumue?

    Vipi ile 1.5 t ilishatolewa maelezo?
  13. I

    JamiiForums Tanzania Rais Mstaafu Jakaya Kikwete agomea eneo la ekari 50, ataka ekari 500

    JK amesema kitu muhimu sana, like or hate him. Chuo kikuu hakiwezi kupewa eneo dogo kiasi hicho.
  14. I

    JamiiForums Tanzania Dr Kessy: Mitihani ya Tanzania inapima uwezo wa mwanafunzi kukariri siyo kuelewa

    Acha hoja za ajabu, huwa unatibiwa na madaktari kutoka mwezini? Mtu anayelaumu mfumo wa elimu ambao yeye ni zao lake tutamuamini vipi? Ndio maana hata yeye amekariri hoja ya miaka ya 1960.
  15. I

    JamiiForums Tanzania Ifike mahala Watanzania tuache kusomea ualimu, supply imekuwa kubwa mno kuliko demand

    Marekani imeendelea kwa TEHAMA haifanyi hivyo. Ukiambiwa uwiano ni mwalimu mmoja kwa wanafunzi 40 maana yake sio kufundisha tu, mtaala wa elimu una mambo mengi.
Back
Top Bottom