Recent content by illmatic88

  1. I

    Huku Diamond na wenzake, kule Reginald Mengi na wenzake!

    Kwahiyo wasanii wanepeform bure!!! Mbna una kichwa kigumu hvyo father
  2. I

    Kwa hili alilolifanya Diamond, litamgharimu sana katika safari yake ya kimuziki

    Msanii ni fisi au swala!!! Kama ni mtu kwanini asiwe ana haki za msingi za kuchagua au kuchaguliwa.... Kati ya wasanii wote walionyesha hisia zao ni diamond peke yake umemuona!!! Sijui mnafikiriaga kwa kutumia matundu!
  3. I

    Kwa hili alilolifanya Diamond, litamgharimu sana katika safari yake ya kimuziki

    Akili fupi kabisa,,, ulikuwa unampigia kutokana na uwezo wake au Siasa?
  4. I

    Kwa hili alilolifanya Diamond, litamgharimu sana katika safari yake ya kimuziki

    Tumeshawapa majibu lakini mnajifanya hamsikii wala kuona... kwanza ni Diamond peke yake anayewapigia kampen ccm?? Ni wasanii wangapi wanawapigia kampeni ccm hujawataja... Je angekuwa amewapigia kampeni UKawa ungekuja na huu utumbo wako...?? Wakati anampigia kampeni Lowassa mbona...
  5. I

    Hivi manii ina nini hadi wanawake wanasisimka wakiilamba na kuimeza

    Njoo nikuwekee zang... Kama juice fulani hivi ... Mixa mixa tui la nazi
  6. I

    Kwa hili alilolifanya Diamond, litamgharimu sana katika safari yake ya kimuziki

    Kama walivyoamua kumpenda bila shuruti basi wanaweza kutompenda bila hata sababu
  7. I

    Baba yangu amenishangaza sana

    Wabongo bwana hapo Ungesema Baba yako alisema umpigie Magufuli, matusi ambayo ungetukanwa wewe na Baba yako yangekuwa jumla ya matusi yote ambayo umewahi kutukanwa.....
  8. I

    Kwa hili alilolifanya Diamond, litamgharimu sana katika safari yake ya kimuziki

    je wewe una uhakika gani hajaridhika na Utajiri alioupata kupitia system ya sasa?
  9. I

    Kwa hili alilolifanya Diamond, litamgharimu sana katika safari yake ya kimuziki

    We unafikiri tatizo ni kubadili system??? Hiyo system unayoitaka ww imeahidi nini katika music industry
  10. I

    Kwa hili alilolifanya Diamond, litamgharimu sana katika safari yake ya kimuziki

    Halafu mbona wakati anampigia kampeni Kikwete mwaka 2010 hamkuongea???, wakati anampigia Lowassa mwaka huu hamkuongea !! Acheni kujenga chuki zisizokuwa na msingi
  11. I

    Kwa hili alilolifanya Diamond, litamgharimu sana katika safari yake ya kimuziki

    Una haki ya kuchagua kumshabikia au kutomshabikia... Na Diamond ana haki yakumchagua mgombea yeyote anayemtaka yeye...Ila kwa mfano Baba yako akiwa CCM utaacha kumuita Baba...?? Siasa zisitufanye tukaanza kujengeana chuki, hapo umeanza na Diamond , then unakuja kwa ndugu, jamaa na marafiki
  12. I

    Nataka kubadili dini naogopa wazazi wangu

    Freedom of worship... But you have to be wise when making your choices... Usifanye maamuzi ukiwa na mhemuko... jiulize upo tayari kuwa muislam, utaiweza Misingi yake maana usikute unataka kuishi kama familia ya rafiki yako ila sio kuoshi kama muislam... Hope umenipata
  13. I

    Job seeker, I have Degree in Public Administration

    There is a thread which directs to popular Job advertising sites... Why don't u try to search...
Back
Top Bottom