Hawa jamaa wana ofisi zao Posta, wanadai wanaagiza magari unalipia nusu kisha gari ikifika unamalizia.
Binafsi nimeagiza gari miezi tisa kila nikipiga simu naambiwa boss hayupo, nikienda ofisini naambiwa boss katoka.
Nimewaandikia barua wamenijibu kwa kunipa masharti mapya ambayo kwenye...
nimeangalia viongozi wengi wakiwa na vimo vifupi huwa wanatumia magari ya chini Hillary Clinton aliamua kutembea na kigoda kama picha inavyoonekana pichani, kigoda hiki humsaidi kupanda kwenye gari hizi za juu (SUV) mama yetu anapanda gari ya juu kwa shida, ushauri wangu atumie kigoda au awe...
Nilikwenda kumtembelea mwanangu shuleni mkoa fulani, nikakutana na walimu wake ili kutambuana na nilitambulishwa kwa mwalimu wake wa darasa, alinisalimia kwa uchangamfu wa hali ya juu na kiukweli ana sifa zote za kuitwa mwanamke mrembo niliomba mawasiliano yake kwa ajili ya “kufuatulia maendeleo...
Wengi tunataka magari ya bei nafuu, hii hupelekea kujikuta tuko tayari kununua gari bila kufanya uchunguzi wa kina, baada ya kujiridhisha kuwa gari unalotaka kununua lipo katika hali inayokuridhisha, ni.
Ni muhimu kujua gari hilo liliingiaje nchini, hapa nazungumzia documents. Watumishi huwa ni...
Kweli jamani kila mtu anatakiwa atafute riziki kihalali, ila vitu vingine vinaudhi, vinaumiza, niliamua kuwa mkulima kwa lengo la kujiongezea kipato, nikaamua kushirikiana na mzazi wangu aliyeko huko kijijini, tulianza kilimo cha viazi kwa kuanzia nilianza na hekari tano. Baada kulima kwa muda...
Dah kuna wakati mwingine unashangaa ni kama watu wamechoka biashara au nini, nimechomeka kadi hapa kwenye ATM ya NBC imenitolea risiti ambayo inaonyesha hela imekatwa ila kiuhalisia sijapata hela nimekaa hapa ili nisubiri, bado naendelea kusubiri ili pengine zisitoke akachukua mtu mwingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.