these people hawaangalii sana mkwanja wakati mwingine tena kibaya nae anao, hapo ndo hatar zaid, anaweza kukuacha halafu akamtafta jobless ili amu treat kama anavyo taka huyo bibieeee
maandiko matakatifu yanasema enyi waume ishini na wake zenu kwa akili sana
CHUKUA HIYO MKUU
Sent using Jamii...
wanawake wanahitaji sana mapenzi huenda hata kuliko kazi kwa hiyo jitahidi saana kuwa karibu nae hata kwa kumpigia cm, sms, na ukiwa nae karibu hakikisha unaonyesha upendo ambao ameumic kwa kutwa nzima.
kumbuka anaweza kukuacha kama hali ya kuwa mpweke mpweke itazid yaana anaweza kutafta...
yaaani mpaka nimetetemeka hasa nikiunganisha na kipindi cha tohara za kienyeji nilozopitia kule kijiji kwetu, duuuuuu sijui kama naweza
Sent using Jamii Forums mobile app
jamani mie mgeni katka forum hii kuna muda niliwahi kujiunga ila kasimu kangu kaka haribika, Sasa nimerudi ila sijui vitu vingi saana humu, ningependa kupata maneno mhimu yanayotumika humu pia na maana zake kwa lugha rahisi zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau nimekaa na (tatoo) yapata miaka 20 sasa, nilichorwa na kaka yangu aliyekuwa akiishi THAILAND, nimekuja kuona haina faida yoyote kwangu, kibaya zaidi ni ile ya kuweka wino kwenye sindano na kuchoma kwenye ngozi.
Nahitaji kuifuta naomba msaada kwa anayefahamu mafuta au chochote cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.