Tatizo alshabab wanawaona wakenya magaidi na wakenya wanawaona alshabab magaidi
Ili ugaidi utokee lazma kuna kuwa kuna sababu
Chukulia mtu akudhulumu nyumba yako au akuulie wazaz wako na wewe si utapaa nae
Kenya ondoeni Majeshi yenu Somalia Naamini magaidi hawatowafuatilia
Kwa hyo Humu ndo sehemu ya kulalamikia
are we him?
Is he us?
Peleka barua Ofisin au kwenye Sanduku La posta so Unakuja kuweka Huku Jamii forum afu unamtaja jina
Je Kama ana matatzo yake ya msingi Utakuja badae kumsafisha Baada ya kumchafua na hayo maneno yako ya kashfa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.