Recent content by Ikunji

  1. I

    Hongera Tundu Lissu, umewafunika wote

    Ila ogopa watu wenye chuki mm nmesikiliza interview mwanzo mwisho Sjaona sevem TL alipotetea mashoga zaid naona watu hawakumwelewa
  2. I

    Sipendi tabia ya watu kuongea kwa sauti kubwa kwenye daladala

    Kama Jana nimepanda na Limama Lina provoke kinoma
  3. I

    Kamwe sitakuja kutoa mahari!

    lishamba tu hili
  4. I

    Unakumbuka mpenzi wako wa kwanza kabisa wakati unabalehe na sasa hivi yupo wapi ?

    Demu wangu wa kwanza alikuwa Anaitwa jakline brown Alisomaga A level songea girl Jack Popote ulipo jua nakukumbuka
  5. I

    Ingekuwa wewe ungemshaurije?

    We we jamaa ulizaliwa kwenye Shamba La vitunguu swaumu?
  6. I

    Magaidi kweli wanaleta hofu yani uwoga umeniingia hadi sasa hivi naishi kama nyokao

    Tatizo alshabab wanawaona wakenya magaidi na wakenya wanawaona alshabab magaidi Ili ugaidi utokee lazma kuna kuwa kuna sababu Chukulia mtu akudhulumu nyumba yako au akuulie wazaz wako na wewe si utapaa nae Kenya ondoeni Majeshi yenu Somalia Naamini magaidi hawatowafuatilia
  7. I

    Mmiliki wa kituo cha mafuta Tankibovu BP, huyu kijana Magafu anawafukuzia wateja

    Kwa hyo Humu ndo sehemu ya kulalamikia are we him? Is he us? Peleka barua Ofisin au kwenye Sanduku La posta so Unakuja kuweka Huku Jamii forum afu unamtaja jina Je Kama ana matatzo yake ya msingi Utakuja badae kumsafisha Baada ya kumchafua na hayo maneno yako ya kashfa?
  8. I

    Ndogo ya Usku huu

    Mlioko online mda huu naomba Muote ndoto mbaya za kutisha Sana Yani Kama unakimbizwa na mizimu Unaangukia kwenye shim refu lenye Nyoka na nge
  9. I

    Tuliowahi kufanya mapenzi bila kufika kileleni tukutane hapa

    ZeroIQ ungependeza kuitwa lover boy
Back
Top Bottom