Jamani ni kweli. Najua marafiki zangu wamefunga groceries zao kisa hakuna wateja na muda wa kunywa umepunguzwa hadi saa 6 tu kwa siku. Hawana fedha za kuwalipa madada wanaowauzia ambao nayo ni ajira yao. Sasa wanaenda kujiuza cheap huko nako wateja hamna ukimpata ni asiyehitaji kondomu. Majanga!
Mchezo huu hauhitaji hasira ni busara na intelligence tu. Kuna hatari ya Kagame kuisambaratisha Tanzania kiuchumi na kiardhi. Hajafurahi M23 kusambaratika chini ya Jakaya.
Chadema wasipotekeleza UKUTA watapotea kabisa katika ramani ya siasa nchini Tanzania. Msimamo usioyumba ni muhimu. Uchwara akipelekwa ngangari ngunguri ataelewa tu!
Ukweli tunaujua lakini tunaukimbia. Hata mimi ningekuwa Rais Magufuli ningefanya hivyo hivyo. Rais anajua nguvu za Lowassa toka akiwa CCM. Anajua Lowassa amezungukwa na watu wa aina gani. Magufuli anaweza kuringia vyombo vya dola tu lakini strategy za siasa hana hivyo njia pekee ni kumdhibiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.