Leo rais Kikwete ktk kulifungua bunge bunge la Katiba kasema mengi kuhusiana na Rasimu ya katiba . Kilichonigusa mimi ni kuwa msemaji wa Kukipigia chapuo chama chake jambo ambalo tulilitegemea. Hata hivyo kitendo chake cha kuijibu rasimu ya akina warioba kwa kuwapinga kwa maoni yao ya serikali...
Huo mkataba umeshavunjwa siku nyingi na unatuchanganya tu. Kama siyo serkali moja basi ziwe serkali 3. Kwa nini zanzibar ina katiba ndani ya katiba ya muungano aafu tumefanywa kama maboya ?
Nadhani jina lako ni mzuka . Aafu mada yako haina uhalisia bali unasumbuliwa na chuki na ukibaraka itakusumbua sana hasa daftari la wapiga kura likiboreshwa nchini, utakimbia nchi ww.
Wananzi wa ccm watoe majibu hapa kutokana na uzembe huu wa ikulu. Watu makini wakiilaumu serikali hii kwa uzembe na udhaifu, wa ccm wanavimba macho, haya ushahidi mwingine huo.
Fanya utafiti kwanza usikurupuke bila mifano. Mfumo huu ni mpya na ndo maana unaiona alama e ambayo miaka ya nyuma haikuwepo kwa matokeo ya iv. Aafu unaandika maneno mengi kimakosa je tukuite nawe uchafuuuuu ? ( swala, ukiringanisha, zinzwekwa )
Someni vizuri na kutafakari mtaona kuwa mtoa mada anamlaumu mtawala wa nchi kwa kuachia mambo yaende kama hakuna mtawala. Wa tz wengi tunakimbia huku tumefumba macho matokeo yake tunabaki mbumbumbu. Hiyo ni fasihi jamaniiiiiii.
umetupotezea mda sana yote hayo yalitosha kwa mistari/ sentensi mbili tu. Hapa umeelezea namna ulivyokuwa unakua na kubadilisha kaptura. Usirudie tena.
baba soma taratibu utamuelewa tu mtoa mada, usikurupuke. Yaonyesha umezoea kusoma kitabu kimoja. Unafahamu kingunge ameingia pale akitokea kundi lipi ? Ni sahihi ?
UTAFITI WA KITILYA NI WA MFA MAJI, COZ NI SAWA NA MFUNGWA KUTAFITI MAISHA YA HAKIMU ALIYEMHUKUMU . Kama CDM AMEWEZA KUCHUKUA KATA MBILI ZA CCM TENA ZA MJINI LICHAMA LILILOKAA MADARAKANI MIAKA LUKUKI, A A A A NI USHINDI KWA CDM. MUOMBE MUNGU DAFTARI LA WAPIGA KURA LISIBORESHWE NA MWIGULU APATE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.