Mnaligeuza suala zito la kitaifa kuwa la kitoto kabisa. Hivi viongozi kupiga picha na mtu yeyote yule ni ushahidi wa ufisadi? Sasa mnataka viongozi wakimbie kupiga picha na watu? Hivi, viongozi wote waliopiga picha miaka ya nyuma na Mramba, Yona, Chenge, Lowassa, Rostam, Bade, Masamaki wote sasa...