Nilinunua mchele kilo 5 na nyama na matunda nikawaagiza wapike kawaida wapo waliopata na wengine wakapata matunda. Maji ilikua katoni 1. Ndoa jioni hivyo niliowaalika walikuja wakiwa washakula japo sikuwaambia. Hapo naona ninahamia kwenye nyumba yangu niliyojenga.
Hawa wangese walipita mtaani wanafungulia watu akaunti. Nikawaambia katika kitu sipendi ni makato ya kingese wakasema wana makato ya 800 kw mwezi tu. Fine nikawaambia nifungulieni ya machinga mpunga ninao wa kutosha nitaweka. Nikaweka liten ndo walitaka. Nimeshangaa sana wametafuna 3500 yangu...
Hawa mambwa wa NMMb wamekula 3,500 kwenye 4,500 iliyokuwepo. Sitaweka pesa benki kwa huu upumbavu acha nitumie njia za kijima kuhifadhi hela. Hivi mtu akiweka hela benki haiwatoshi wao kuwakopesha watu wakapata na faida hadi waweke makato ya kiduanzi. Nawaonea huruma sana wafanyakazi wa serikali...
Nimefungua akaunti ya machinga wiki iliyopita na nikadownload app ya nmb mkononi. Kama wameweka upumbavu huu basi acha hiyo 5,500 iende hii 4,500 hawataiona. Pesa nitaweka ni ya biashara almost 30m ila kama wameweka huu upumbavu basi nitaachana nao rasmi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.