Recent content by iikatseb

  1. I

    The Hexagon Arusha Stadium, uwanja wa kisasa kabisa wa mpira wa miguu kujengwa Olmoton Arusha

    Wale waliokua na mashaka bado mashaka yao yapo ??? Sent from my SM-M515F using JamiiForums mobile app
  2. I

    Ulitumia kiasi gani cha fedha ama umepanga kutumia kiasi gani cha fedha kugharamia harusi yako?

    Nilinunua mchele kilo 5 na nyama na matunda nikawaagiza wapike kawaida wapo waliopata na wengine wakapata matunda. Maji ilikua katoni 1. Ndoa jioni hivyo niliowaalika walikuja wakiwa washakula japo sikuwaambia. Hapo naona ninahamia kwenye nyumba yangu niliyojenga.
  3. I

    Serikali impe angalizo Jerry Silaa, namuona anaiingiza Serikali katika mgogoro mkubwa wa kulipa fidia!

    Vipi kama zikitoka offer mbili wa kwanza kulipa ndo anakua na haki ????
  4. I

    NMB acheni wizi kwa wateja wenu

    Hawa wangese walipita mtaani wanafungulia watu akaunti. Nikawaambia katika kitu sipendi ni makato ya kingese wakasema wana makato ya 800 kw mwezi tu. Fine nikawaambia nifungulieni ya machinga mpunga ninao wa kutosha nitaweka. Nikaweka liten ndo walitaka. Nimeshangaa sana wametafuna 3500 yangu...
  5. I

    NMB acheni wizi kwa wateja wenu

    Hawa mambwa wa NMMb wamekula 3,500 kwenye 4,500 iliyokuwepo. Sitaweka pesa benki kwa huu upumbavu acha nitumie njia za kijima kuhifadhi hela. Hivi mtu akiweka hela benki haiwatoshi wao kuwakopesha watu wakapata na faida hadi waweke makato ya kiduanzi. Nawaonea huruma sana wafanyakazi wa serikali...
  6. I

    NMB acheni wizi kwa wateja wenu

    Nimefungua akaunti ya machinga wiki iliyopita na nikadownload app ya nmb mkononi. Kama wameweka upumbavu huu basi acha hiyo 5,500 iende hii 4,500 hawataiona. Pesa nitaweka ni ya biashara almost 30m ila kama wameweka huu upumbavu basi nitaachana nao rasmi.
  7. I

    Plot4Sale Nauza kiwanja Changu Magomeni Mtwara

    Hii kauli inamaanisha nini ??? Kuna ndugu yangu nimempigia jana nikamwambia nauza eneo langu akanijibu kimfaacho mtu. Sikuelewa alimaanisha ninj
  8. I

    Umewezaje kudate na mwanamke Nurse?

    Anaitwa Amina ???? Au Latifa ???
  9. I

    Jiji la Arusha halina Kituo cha Mabasi wala Soko lolote linaloendana na hadhi ya jiji hilo

    Stendi itajengwa kubwa sana na ya kisasa. Nimeshapata kiwanja nasubiri tu kuhamia mjini. Tulieni
  10. I

    INAUZWA Karibu ununue Mchele, Mahindi na mazao mengine kutoka Mbeya

    Wazee naambiwa bei ya gunia la mahindi nyanda za juu kusini ni 30,000 kwa gunia. Kuna ukweli wowote hapo
Back
Top Bottom