Uko sawa mkuu. Niliwahi kwenda Mbeya ule mkoa wanalima mchele ila hakuna sehemu utaenda kula wali au pilau ukute imepikwa vizuri. Kiufupi hao wakulima na wanaoendq kula na wapishi hawajali mapishi namna yoyote kitakavyopikwa wanakula. Usije ukapoteza muda na mtaji Mtwara bado uchumi uko chini...
Mkuu leo ni miezi 3 imeisha kama ilivyo utaratibu kuna watu hawakumaliza kulipia hivyo usiku vimerudi na muda huu vimebakia 15. Kama unahitaji wahi kajipakulie minyama utafute hela ya kulipa kabla ya kuisha muda. Kumbuka ukilipa nusu ukashindwa kumalizia hutarudishiwa hata mia.
Wakuu nimenunua shamba heka 10 mwaka huu Arusha Halmashauri ya Meru nataka nilime maharage mbegu ni Seliani. Kama kuna mtu analima Shambarai anipe abc mana nimedhamiria kuingia kichwa na migu. Eeeh mola niongoze.
Mfumo haulimit idadi ni wewe na kuwahi kwako. Labda huko mbeleni wataweka limit kwa viwanja vile ni hotcake. Kikubwa uwe na pesa ukilipa nusu ikabakia labda laki 1 na hujamaliza hiyo hela uliyolipa mwanzo imeliwa.
Kuna ambavyo waliwekaga mara ya kwanza kutokana na wingi wa watu mfumo ulipata hitilafu. Wanaweka usiku ili wanaoingia wanakua wachache mfumo sio rahisi kupata hitilafu. Hata hivyo watumishi wa halmashauri hawakujua muda vitakapokuwa hewa. Mimi kawaida huwa naingia saa sita usiku na kuendelea na...
Mkuu kuna kuchanganya pia sasa mteja wa jumla anakwambia umletee mchele wa 1,400 na wewe unanunua kwa 1,200 ongeza gharama 100 upate faida ya 100 na kukukipa hakulipi yote. Cha kufanya tafuta mchele wa 1,000 punguza chenga unampelekea walau upate faida la sivyo anakufilisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.