Hamjui hujuma zinazo fanywa na serikali ya ccm eti kukomoa majimbo yanayo ongozwa na upinzani mjinga peke yake ndiye anaye weza kutotambua hujuma dhidi ya Arusha
Lo! kweli leo elimu imetolewa. Hebu walo tia pamba masikioni na wanadhamana ya kuinasua nchi katika mkwamo huu watoe pamba hizo wasikie kile kinacho zungumzwa na wataalamu.
komekaone;8921164]Wakuu tunawaomba mtujuze, kwa sisi Walimu wapya watarajiwa ni vitu gani muhimu ambavyo vitatakiwa tuwe navyo mara tutakaporipoti kwa Wakurugenzi wa Halmashauri tutakazopangiwa na pia katika shule husika. Tunaomba mtujuze mapema itatusaidia kuandaa mapema, na pia itatuepushia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.