Recent content by igwe sr.

  1. I

    Kwanini Wabongo hatupendi kutoka as a family, tunatoka tu na washikaji?

    Hapa labda kama unalenga aina fulani za familia,ila asilimia kubwa ya familia hawaendi mbali na maeneo wanayoishi
  2. I

    Kwanini Wabongo hatupendi kutoka as a family, tunatoka tu na washikaji?

    Kuna maeneo za kwenda na familia, uwezi ukatoka na mke na watoto mkaenda kukaa Bar,ila washikaji popote mnaweka maaskani
  3. I

    Unyunyu wa 2022 "psiii psiii"

    Ni utuuli wenye harufu ya kizungu haukerii
  4. I

    Ombi kwa makampuni ya soda Tanzania: Tubadilishieni vifungashio, hali ni tete

    kuna Hatua zinafuatwa kabla soda haijajazwa kwenye chupa,punguza wasiwasi.
  5. I

    Unyunyu wa 2022 "psiii psiii"

    Creed Aventure Matata saaana
  6. I

    Tukutane hapa ambao tulijihisi tuna maambukizi ya Corona lakini tulijitibia nyumbani na sasa tumepona

    Kutafuna Tangawizi Mara kwa Mara Umeiwezaje inaitaji ujasiri saana
  7. I

    Jamani mnaokunywa kila siku ela mnaipata wapi

    Wanakwambia iga kutafuta na sio kutumia
  8. I

    Hata kama kitanda hakizai haramu.

    Bila shaka ujumbe utakuwa umewafikia walengwa haswa
Back
Top Bottom