Kama we huendeshi gari huwezi kumwelewa.Mimi Leo maeneo ya Mwenge imetutokea.Tumesimama kwenye taa baada ya taa kuturuhusu waenda kwa miguu wanataka kuvuka karibu tuwagonge.
Mimi nimelipia tangu 20 desemba2018 kurenew had leo sijapata leseni mpya.
Nasikia ukitoa rushwa fasta unapata leseni.Tunasubiri tuone watakaanazo mpaka lini.
Kwanini lisiwezekane mbona watu wengi wamepotea na watu wake kimyaa tuu.Watu wasiojulikana na waliomshambulia Tindu Lissu mbona serikali iko kimyaa na inatuhumiwa?
Nadhani wewe pia huelewi matamshi halisi yanatokana na lugha halisi.KISHWAHILI UTATAMKA AJAX WENYEWE WOHOLANZI WANATAMKA AYAX.MFANO MSUKUMA AKITAMKA MASANJA NI TOFAUTI NA MZUNGU.ILA UNATAKIWA UJITAHIDI UTAMKE KAMA WENYEWE.
Vipi hujaeleza kuhusu rushwa katika maelezo yako.Hizi leseni labda Ulaya au nchi zingine hapa kwetu so hivyo.Mimi nimelipa kurenew leseni yangu tangu 20/12/2018 sijapata hadi Leo.Kuna jamaa kasomea vyeta ana vyeti kaambiwa alete pikipiki na bas la abiria 65.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.