Subir magufuli kesho nayo upime maana cdhan km atakuwa na majibu ya maswal kwa nn anashanga hakuna madawa wakt ccm ipo madarakani? Kwann anasema daraja likiishaa la kigamboni wite watapita bure ihali mwanzo alisema litakuwa la kulipia????
Lowas amejib vizur tu mm ckuona shida aliyopata
Magufuli anakikimbia chama chake au chama kinamkimbia?
Jenerali Ulimwengu
Toleo la 425 Raia Mwema
30 Sep 2015
KATIKA mazingira ya ukinzani wa kisiasa, kila unapotokea uchaguzi, ukweli huwa unatumika kwa nadra sana, na kila upande unaohusika katika ukinzani huo hujijengea dhana yake ya hicho...
Jana magufuli alipokuwa anahutubia dodoma alimuamuru Rpc dodoma apande jukwaaan na akisema hv mm c ndo nitakuwa rais bana RPC njoo hapa hapa na khagiza hakikiasha hiz msg za vitiaho alizopata aliyekuwa katib mwenez chadema dodoma unazishughulikia haya nenda kazifanyie kaz
Hoja yangu magufuli...
Kwahiyo una maanisha na jk aliaanza ukabila ailopsema ss wasukuma zamu yenu??? Na anachooendelea magufuli ni ukabila fully anatumia watoto wakiongea kisukuma na yy pia anaongea kisukumu ili apate huruma ya kura na kuonwa ni mwenzao??????? Nashangaa tume hailisemi hili
Na jana akiwa fodoma...
Mtikila twaambie bas kwann jk alimuita jembe lowas 2010??? Wakat anajaua ni fiasd na kampen akashinda! Ifike mahala mtikila na genge lako uelewe kuwa huna cha kuwaambia watz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.