Hapo ndo mtihani mkuu maana kipi chenye soko mayai na nyama!Mimi kama mayai ndo yanalipa nitfanya hivyo lkn kama nyama ndo wanalipa basi nitafanya hivyo pia ndo maana nimeomba mawazo lkn mm binafsi nataka wa nyama
Wakuu habari;
Mimi ni mfanyakazi katika sekta Fulani.Nimekuja hapa kuomba ushauri na mapendekezo juu ya nitakachokiongelea hapa chini.
Wakuu kipato changu kwa mwezi ni Tsh 439,000/
Nataka nianze kufuga kuku lakini sasa sielewi nianzie wapi.Eneo ninalo la kutosha tu kwa kufugia.Mimi nipo mkoa...
Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA Mh.Edward lowassa ameachiriwa huru alipokuwa na polisi geita alipokuwa amekamatwa.Sasa anaelekea jijini Mwanza kwa ajili ya kikao cha kamati kuu ya chadema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.