Recent content by igihumbi

  1. I

    Ni Mwaka gani ulipitia nyakati ngumu zaidi katika maisha yako!

    NYAKATI NGUMU HUWA HAZIISHI BALI HUWA ZINATULIA KWA MUDA NYAKATI NGUMU HUISHA PALE UNAPO KUFA TU.
  2. I

    Msaada hivi vipele vimekuwa changamoto.

    habari wapendwa nasumbuliwa na hivi vipele naomba msaada kwa anaejua dawa nimezunguka mahospitalini bila mafanikio.
  3. I

    Ndugu zangu naombeni kazi kwenye makaa ya mawe (Songea na Mbeya)

    Habarini wapendwa poleni na majukum naombeni msaada wa conection ya kazi kwenye makaa ya mawe songea au mbeya. Mimi ni operator wa excavator mzoefu, nimependekeza kwenye makaa ya mawe kwa sababu ni kazi ya kudumu tofauti na kwenye miradi ya barabara. Msada wenu tafadhali.
  4. I

    msaada nahitaji excel ya fuso

    msaada nahitaji hii axle shaft ya hii fuso. kama unayo tuwasiliane kupitia 0623593536
  5. I

    Kama unaingiza kipato kipitia kazi za online, nakuomba nijifunze kutoka kwako

    asante sana ila naomba kama na wewe unatumia hiyo njia kuingiza kipato naomba nije nione uhalisia nijifinze kwa vitendo.
  6. I

    Kama unaingiza kipato kipitia kazi za online, nakuomba nijifunze kutoka kwako

    karibuni hata wale wa farex karibuni tuokoane ndugu zangu.
  7. I

    Kama unaingiza kipato kipitia kazi za online, nakuomba nijifunze kutoka kwako

    nichangamoto ila naimani watu wapo waopata kipato kupitia kazi za online naitaji nione wanavyo fanya kiuhalisia.
  8. I

    Kama unaingiza kipato kipitia kazi za online, nakuomba nijifunze kutoka kwako

    habari wakuu poleni na mjukumu. Ndugu zangu naombeni msaada kwa wale mnao tumia MB kama chanzo cha mapato. Hapa namaanisha yani wewe ukisha kuwa na MB basi tayari tonge limesha enda kinywani. Naomba unifundishe nipo tayari kujifunza kuwekeza muda nguvu na akili kujifunza. naombeni msaada...
  9. I

    NISAIDIE KUPATA KAZI SONGEA KWENYE MAKAA YA MAWE.

    sawa mkuu kwa hiyo kule wote ni ccm ngoja nifanye hivyo
  10. I

    NISAIDIE KUPATA KAZI SONGEA KWENYE MAKAA YA MAWE.

    Ndugu zangu kwema poleni na majukum. mimi operator wa excavator mzoefu naomba msaada wenu kwa yeyote anaeweza kuniunganisha songea kwenye makaa ya mawe japo nipate hata nafasi ya kutest kuonyesha nilicho nacho naimani humu kuna watu wengi wa aina tofauti naomba msaada wenu. shukrani.
  11. I

    Nyumba (Paa) zinazovuja karibuni dawa imepatikana

    asante sana boss wetu kwa kutuamini
Back
Top Bottom