Habarini wapendwa poleni na majukum naombeni msaada wa conection ya kazi kwenye makaa ya mawe songea au mbeya.
Mimi ni operator wa excavator mzoefu, nimependekeza kwenye makaa ya mawe kwa sababu ni kazi ya kudumu tofauti na kwenye miradi ya barabara.
Msada wenu tafadhali.
habari wakuu poleni na mjukumu.
Ndugu zangu naombeni msaada kwa wale mnao tumia MB kama chanzo cha mapato.
Hapa namaanisha yani wewe ukisha kuwa na MB basi tayari tonge limesha enda kinywani.
Naomba unifundishe nipo tayari kujifunza kuwekeza muda nguvu na akili kujifunza.
naombeni msaada...
Ndugu zangu kwema poleni na majukum.
mimi operator wa excavator mzoefu
naomba msaada wenu kwa yeyote anaeweza kuniunganisha songea kwenye makaa ya mawe japo nipate hata nafasi ya kutest kuonyesha nilicho nacho naimani humu kuna watu wengi wa aina tofauti naomba msaada wenu.
shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.