Lini wewe ulishawahi kuisemea vzr serikali? Watu kama nyie ni wa kupuuza maana kila kitu wewe ni kupinga tu kisa et mpinzani..upinzani wa aina yako ni wakijinga,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajaenda kwa uwoga wake tu, Mimi nashaanga anajisifu ukusanyaji wa kodi umeongezeka, watumishi hewa ameondoa amezuia madili yote lkn bado serikali haina hela. Kuna haja gani ya hayo aliyofanya wakati hatuon faida ya pesa aliyo iokoa? Akae akijua ana wakati mgumu sana maana wanamfurahia wanazidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.