PENTAKINYE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2019
- 817
- 829
siyo rahisi kiasi hicho ndugu angeendelea na msimamo wake ingejulikana kama zimeliwa au laWewe huwajui wenyeji wa kanda ya Ziwa ungesikia "Msindikizeni huyu Gaidi akapumzike"
siyo rahisi kiasi hicho ndugu angeendelea na msimamo wake ingejulikana kama zimeliwa au laWewe huwajui wenyeji wa kanda ya Ziwa ungesikia "Msindikizeni huyu Gaidi akapumzike"
viwanda vinajengwa na ndege zinanunuliwa pia vyote vina faida sana kwa taifaKwan bombardier moja imenunuliwa pesa ngapi? na kila baada ya muda gani zinafanyiwa matengenezo?ili tujue ni kwa muda gani tutafanya biashara turudishe pesa yetu ya kodi ndiyo tuanze mchakato wakupata faida?ila hiyo pesa ingewekezwa kwenye viwanda na kilimo tungefika mbali mno.
There are not cost benefit consciousKwan bombardier moja imenunuliwa pesa ngapi? na kila baada ya muda gani zinafanyiwa matengenezo?ili tujue ni kwa muda gani tutafanya biashara turudishe pesa yetu ya kodi ndiyo tuanze mchakato wakupata faida?ila hiyo pesa ingewekezwa kwenye viwanda na kilimo tungefika mbali mno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itafikia zitakuwa zikitoka Service/Maintanance Wafanyakazi wa Umma wanalazimishwa kwenda kuzipokea kwa maandamano ya Amani ili kwwenda kumuunga mkono raisi kwa kuzipiga Rangi Boeing na Dreamliner...halafu huko kwenye matawi na mashina ya CCM wanaambiwa ni ndege zimefikia 50.Asa watu kama Emirates wanaomiliki ndege 500?!
Kama ndege 6 gharama yake ni bilioni 800, ndege 500 je?
Daah aisee safari ni ndefu mno ila tutafika tu.
1.5Ta
cheni uzushi wa kijinga 1.5 ndiyo nini hamna stori nyingine mnakalia za kufikirika ?
Kweni mzozo uliopo kati ya CAG na Spika ni kutokana na nini?!siyo rahisi kiasi hicho ndugu angeendelea na msimamo wake ingejulikana kama zimeliwa au la
Viwanda vipi vimejengwa vitaje kwenye mkoa wako ulioko acha ushambaviwanda vinajengwa na ndege zinanunuliwa pia vyote vina faida sana kwa taifa
CAG kasema ukweli ambao hata wewe unaujua kuhusu uwezo wa Bunge la awamu ya 5 kuisimamia serikaliKweni mzozo uliopo kati ya CAG na Spika ni kutokana na nini?!
Lini wewe ulishawahi kuisemea vzr serikali? Watu kama nyie ni wa kupuuza maana kila kitu wewe ni kupinga tu kisa et mpinzani..upinzani wa aina yako ni wakijinga,maana tumesikia zimeanza kubeba mbuzi .
Umemjibu vyema kbsaKwa mtu kama wewe ukizipanda utabebwa kama mzigo.