Recent content by idrismkindi

  1. I

    JamiiForums Tanzania Nape Nnauye adaiwa kukamatwa, akanusha na kusema YUPO na Mkutano upo palepale

    Hivii hii kit ni kweli au
  2. I

    JamiiForums Tanzania Elimu bure ni ndoto za abunuasi

    Pj nani kakwambia mzunguko wa pesa ni mdogo hali Mafisadi wanaibuka kama mzunguko ungekuwa mdogo hilo lisingekuwepo tatizo ni ubinafsi wa wachache kujilimbikizia mali na kuacha wengine wakiteseka
  3. I

    JamiiForums Tanzania Elimu bure ni ndoto za abunuasi

    Mimi nadhani elimu bure inawezekana kwani enzi za Mwalimu ilikuwaje? Na pia wanafunzi tulikuwa tunapewa madaftari kalamu na rula toka Elimu supplies. Kama wakati ule Iliwezekana kwanini sasa hivi isiwezekane?
  4. I

    JamiiForums Tanzania TANESCO, Ni sawa kuzima umeme 12:00 alfajiri na kuridisha saa 6: usiku?

    Si haki kabisa ila ndugu si huko tuu dodoma pia
  5. I

    JamiiForums Tanzania Unaweza kutaja ulichoona...?.

    Hajaona kitu
  6. I

    JamiiForums Tanzania Sura Ngapi Zipo Hapa...?.

    Ziko tatu 3
  7. I

    JamiiForums Tanzania hivi nani wewe ulikua unabebaje mfuko unapo toka shule??

    D wakati natinga shule F wakati natoka Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
  8. I

    JamiiForums Tanzania Naweza kusoma nini na chuo kipi kwa division four point 33

    Unaweza kujiunga na VETA katika kozi yoyote uinayoipenda. Nenda chuo chochote cha VETA upate maelekezo zaidi. Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
  9. I

    JamiiForums Tanzania GE2010 Tomorrow people je watanzania tuko tayari?

    Watanzania uchaguzi umewadia ila nashindwa kuuliza kama tumejitayarisha kwani hata mwenyewe bado nina maswali. Uchaguzi huu naufananisha na ile nyimbo inayoitwa “Tomorrow people” ni kama muimbaji aliimba mahsusi kwa ajili ya Tanzania kwenye chorus anasema, nanukuu “Tomorrow people, where is...
  10. I

    JamiiForums Tanzania VIP Prisons coming soon in TAnzania

    Mimi nashindwa kuelewa inakuwaje Mfungwa akatengwa na wafungwa wenzake? Mwizi ni mwizi tuu hata kama kaiba shilingi moja na kama ni mwizi basi wezi wote wanatakiwa kuwa treated equally. Sasa huku mitaani walikuwa mafisadi si wataendeleza ufisadi mpaka huko gerezani?
Back
Top Bottom