Me ni mmoja wa watu ambao huwa sipigii kura mgombea wa CCM, kwa kuamini Chama cha Mapinduzi sio cha kuaminika, na hakina lengo la dhat la kumkwamua mtanzania wa hali ya chini...
2015 kwa bahat tu ukatokea J. Pombe Magufuli, binafsi sikukupigia kura sababu sikuwa na iman na wewe, nilipoanza tu...