Swali wahamie wapi toa sehemu mbadala kuwahifadhi wana Rungwe.
Watu 20 wameshapotea daah inauma sana nchi yani hii.
Toa suluhisho kiongozi sasa watu hawana nyumba kusema tuu wahame haitoshi .
Wanafiki wa siasa eti wanasema Game is won on the stadium 🏟?
Wakati kwenye siasa game is not won by voters but who count the voters votes 🤔
Hongereni sana Morocco
Pia soma Senegal wapokwa ubingwa wa AFCON 2025 na CAF, apewa Morocco
Kipindi akiwa hai watu hulalamika hafai, mbaya ila akifa sifa lukuki.
Au ndio marehemu hasemwi vibaya.
Je ni sahihi binadamu kuwa aliwatendea mema watu wote?
Uhuru wa maoni wa kusema huyu mimi alikua mbaya kuliko wote upo?
Kama benk zetu mbili zinazofanya vizuri sokoni zimepata faida maradufu kwa mara ya kwanza na haijawahi tokea..
Je hawaoni sasa ili kuonesha ukubwa na kurudisha gawio kwa wananchi kutoka mikopo kwa riba ndogo hata 10% kwa wafanyakazi??
Faida yao means RIBA ni kubwa pia asilimia 17% ...
Naona kuna baadhi ya mawaziri wakiingia kama wana mambo yao vile wakiondoka yameisha?
Mfano waziri fulani alikuja na vazi la taifa , mwingine singeli mwingine contents creators, ........
Malazi ni vitanda vya shule vya 1000 tuu havina ubora mkubwaa. Yaani mtumishi analala kitanda cha mwanafunziiii???? CHUKULIA PERDIEM NI 150000 SASA SIKU 10 MTU LETS SAY KALIPWA 800K INA MAANA KALIPWA 80 K SIKU. KWA HIYO MALAZI NA CHAKULA NI 70K KWA SIKU???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.