Mh. Waziri karibu sana humu jf, niende moja kwa moja kwenye point yangu.
Wizara ya kilimo imepambania sana maafisa kilimo walioko katani kuwezeshwa usafiri wa pkpk na tunaona kwa sasa mambo yanaenda, vp wizara yako inashindwaje kuwapambania maafisa maendeleo ya jamii wa ngaz ya kata japo...
Dodoma fursa kubwa ninayo iona ni kama ukianzisha hardware ya kisasa utauza sana maana kila kona ujenzi unafanyika vifaa vya umeme pia vinauzika sana[emoji1317]
Kuwa makini na maswali ya mawakili, kama wakikuletea maswali ya utata ambayo unaona kabisa huna uhakika wa jibu lako, jibu sikumbuki/sifahamu. Unanikumbusha kisutu niliitwa kama ww upande wajamhuri 2021 oct
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.