Mkuu!
Kuna watu ni wapumbavu sana nchi hii!
Fikiria mtu anajisifu kabisa eti siku 19 kweli?
Ina maana ikitokea chochote mipaka ya nchi ikafungwa tunajifia kama nzi
Ndio shida ya kumtegemea mtu mmoja kama nguzo ya chama!
Kilichowapata cuf baada ya Lipumba na Maalim seif, ndio kitakachokuja kuwapata machadema baada ya Mbowe
Ni box la maombi ndiyo!
Ila kuna bahasha ilikuwa na karatasi iliyoandikwa maombi na hela vyote vilikuwa kwenye bahasha moja!
Alichofanya huyo mama ni kufungua ile bahasha kisha akatoa karatasi ya maombi akaiacha kwenye box na ila ile hela ameondoka nayo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.