Nikweli kwamba wanawake wenye elimu na figure nzuri(warembo) hawaoleki,pia naweza kusema wanawake hao ni tatizo kubwa sana,mara nyingi wanaringa sana na dharau kibao pale unapowatongoza au kuwakosea kidogo tu,,,pia pesa na elimu zao zinawapa kiburi na kuwafanya waamini nothin impossible under...
upo sawa mkuu
ushauri wako ni mzuri, lakin pia nafas za kazi zipo ila ushandan ni mkubwa sana,sasa hv ukiwa competent huwez kukosa ajira either serkalin au sekta binafs,kila mwaka wanafunzi wa elimu ya juu wanagraduate at the same time waajiriwa pia wanastaafu na wengne wanaloose jobs
hahahaha...
Kumekuwa na tetesi nyingi sana kwamba MP wa Arumeru mashariki,Mh.Nassary hakubaliki tena na wananchi wajimbo lake kutokana na kutotekeleza ahadi nyng alizowahaid wanarumeru,,wanadai pia kina mbowe hawamkubali Nassary maana anasema kwamba Mbunge wa Kigoma kask.akutendewa haki na Uongozi wa...
wanaopinga muungano wakasome vizur kwn hawajui,hii acronym(Tanzania) imetokana na combination btn TANGANYIKA and ZANZIBAR,,,kwahyo kwakutamka tu neno Tanzania tuna mantain muungano,,,cha muhimu muungano uboreshwe
sherehe za maccm huko dodoma siyo kitu kwetu kwan wanadhan wameshamaliza kazi kumbe bado,,,mtaan wanasubiriwa sana si kwa fujo wala vicheko bali ni kwa referendum
Hatukatai kwamba hzo tiba hazifany kazi ipasavyo,ila nyie mnaotoa hzo tiba lazima mzingatie matatizo ya mteja wenu,wakat mwingine mtueleze na side effects zake kwani unaweza kukuta watu wengne wanatumia ovyo nakupata matatzo mengne makubwa na wengne kupoza maisha,,,hvyo mm ningependa sana...
Mimi namuanga mkono mtoa mada,japo uchunguzi wake hujakamilika kutokana nakutofanya uchunguz akinifu ili apatekujua sababu ni nn,lakin hata mm hilo suala nimeliona kwa vijana wengi baada ya kuhtmu vyuo wanaleta vtambi baada ya muda mfupi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.