Recent content by Idd Ninga

  1. Idd Ninga

    Tangu Vanessa Mdee aache muziki, hakuna mwanamuziki wa kike yeyote aliyeziba pengo lake

    Nilimjua Vanesa kwenye Dume Challenge,ila kwenye muziki,tunamsingizia kabisa,sijui hata nyimbo zake
  2. Idd Ninga

    Lengo la Iran ni kuifuta Israel, Wayahudi wenyewe nusu yao wapo Iran kama wapelelezi

    Proganda ukijuisha na utoto inakuwa ni Ujinga na upumbavu vilivyochanganyikana pamoja
  3. Idd Ninga

    Ayatollah Ali Khomeini auawa baada ya mashambulizi ya Israel na Marekani

    Kupigwa kwa Iran lilikuwa ni suala la Muda tu.
  4. Idd Ninga

    Ajali ya gari la polisi imetokea uwanja wa ndege Dar

    Video na maelezo kuhusu video,kuna utofauti mkubwa sana,labda utume video itkayoendana na hayo maelezo yako.
  5. Idd Ninga

    KERO Msaada wa NIDA Verification kugoma kwenye kusajili Kampuni au Shirika, licha ya Taarifa kuwa sahihi

    Katika Mfumo wa NIS ukiona nida inakataa jua kuna taarifa unayoweka haipo sawa,hakikisha taarifa zote ni sahihi kama ulivyoweka kipindi unasajili NIDA
  6. Idd Ninga

    Uchokozi: Burundi wataka kuichukua Kigoma kutoka Tanzania

    Wamuulize Idd Amini kwanini Aliitwa Dada na akavaa hijabu hali ya kuwa ni mwanaume tena aliepitia jeshi
  7. Idd Ninga

    Nauliza shujaa wa tiktok Habil Kabil yuko wapi?

    Misheni yao imemalizika vizuri kabisa.
  8. Idd Ninga

    DOKEZO Mfadhili wa Kiarabu awang'ang'ania watoto wa kike wa Kimasai kwa miaka kumi na hataki kuwarudisha makwao

    Na hichi ndicho kilichotokea,uelewa wa Wazazi ni mdogo na hata Kiswahili chenyewe hawakijui,hawajui hatua zipinzifanyike,na wamekuwa wakidanganywA kuhusu watoto wao.
  9. Idd Ninga

    DOKEZO Mfadhili wa Kiarabu awang'ang'ania watoto wa kike wa Kimasai kwa miaka kumi na hataki kuwarudisha makwao

    acha zibaki kama pumba maana zitakuwa na faida kwa wale wenye akili
  10. Idd Ninga

    DOKEZO Mfadhili wa Kiarabu awang'ang'ania watoto wa kike wa Kimasai kwa miaka kumi na hataki kuwarudisha makwao

    Aliesema hao watoto ni Yatima ni Afisa Ustawi wa Jamii na siyo wazazi,wazazi hawakuambiwa ukweli mahali watoto wao wakipopelekwa.
  11. Idd Ninga

    DOKEZO Mfadhili wa Kiarabu awang'ang'ania watoto wa kike wa Kimasai kwa miaka kumi na hataki kuwarudisha makwao

    1. Watoto walichukuliwa kwa idhini ya afisa ustawi wa jamii Ngorongo na kwenda kumwambi Ghulam kuwa hao watoto ni Yatima, Kumbuka nilivyoandika kuwa, WAZAZI WALIAMBIWA KUWA WATOTO WANAENDA KUTAFUTIWA UFADHILI WA MASOMO na siyo kwamba wanaenda kufanywa kuwa ni watoto Yatima. 2.Makubaliano...
  12. Idd Ninga

    DOKEZO Mfadhili wa Kiarabu awang'ang'ania watoto wa kike wa Kimasai kwa miaka kumi na hataki kuwarudisha makwao

    Hii hoja inaonyesha kweli lishe inaweza kuathiri hadi ubongo na kupunguza uwezo wa kufikiria. Soma hiyo taarifa ili uelewe mkuu, siyo kila kitu hadi uwe umeenda shule ndo utaelewa,vingine hata kama hujasoma uwe unajitahidi kufanya ubongo uelewe na siyo kukurupuka
  13. Idd Ninga

    DOKEZO Mfadhili wa Kiarabu awang'ang'ania watoto wa kike wa Kimasai kwa miaka kumi na hataki kuwarudisha makwao

    Shule ni muhimu sana. elewa kilichoandikwa,wazazi hawakumpa mfadhili mtoto awalelelee kwa miaka kumi, wazazi waliambiwa kuwa mtoto anakwenda kutafutiwa ufadhili wa masomo, walipofika kwa mfadhili aliempa mfadhili watoto akadai kuwa watoto hao ni yatima
Back
Top Bottom