Ni kwamba huyo mwandishi alikuwa 'anatembea' na hukumu ya kifo.
Ilitolewa fatwa ya kuuwawa popote atapopatikana.
Hukumu ya kifo ilitolewa na ma-hayatollah huko Iran mara tu baada ya kutoa hicho kitabu.
Alikuwa analindwa na serikali za Uingereza na Marekani.
Nawasalimia kwa jina la JMT.
Ndugu yangu anatafuta gari ya kununua mkononi, lakini iwe gari iliyonyooka.
Kaoneshwa gari na madalali, inaonekana kaipenda, lakini kuna vitu kama ana mashaka navyo!
Kanishirikisha picha za gari, kimuonekano wa nje na ndani gari imetunzwa vizuri.
Ila hii picha ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.