kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,747
- 12,136
Bado tu mrejesho?Ndani ya miaka mi4 hii nitarejesha mrejesho wa hili sheikh
Bado tu mrejesho?Ndani ya miaka mi4 hii nitarejesha mrejesho wa hili sheikh
Hofu yako ya nn?huu uzi umekaa kimbeya sana olu in olu nitaoa sababu najua nimempata mke

Haitumiagi ila ananionaga na anakereka sana mi kuwa humu. Inaniondoleaga attention kabisaHofu yako ya nn?
Au shemj yetu yumo jf![]()
Tulia wewe😂😂😂😂😂😂😂 huu uzi umekaa kimbeya sana olu in olu nitaoa sababu najua nimempata mke
Liverpool vp do you copy?1. Kuna heshima niliikosa mbele ya jamii now nikiwa sehemu naheshimika kama mwanaume sababu nina familia inayonitegemea so mtu akimuona wife na akiambiwa ni mke wa fulani respect inakuwepo.
2,kupata familia hasa watoto ambao sasa nnao na wapo kwenye malezi ya baba na mama
3,kuna kazi kama 2 ambazo kama maritual status yangu ingesoma zero basi nisingefanya hata interview
4.Hata nikiumwa au kufa usiku wa manane basi ntafikishwa mochuari au hospital kwa muda sahihi sababu yupo wa ubavu wangu
5.Nikifulia kiuchumi au nikipata misuko suko rafiki yangu wa pekee ni mke wangu kwani sina mshkaji ambae anaweza kunipa 10m nikatibiwe moyo india ila mke wangu anaweza uza hata nyumba yao na ndugu zake wakiwa ndani nikapelekwa india usku wa manane.
note:
SIKU UTAKAYO OA TU HAKUNA MWANAMKE UTAYEMTONGOZA AKAKUKATALIA NA WAZURI ZAIDI YA MKEO NDO WATAZIDI KUKUSHOBOKEA
SABABU?
SHETANI YUPO KAZINI
Kila kitu nini na nini?Nilipewa Kila kitu boss. Nikaona isiwe shida, ngoja niganye usajili wa kudumu
Nzur Sana1. Kuna heshima niliikosa mbele ya jamii now nikiwa sehemu naheshimika kama mwanaume sababu nina familia inayonitegemea so mtu akimuona wife na akiambiwa ni mke wa fulani respect inakuwepo.
2,kupata familia hasa watoto ambao sasa nnao na wapo kwenye malezi ya baba na mama
3,kuna kazi kama 2 ambazo kama maritual status yangu ingesoma zero basi nisingefanya hata interview
4.Hata nikiumwa au kufa usiku wa manane basi ntafikishwa mochuari au hospital kwa muda sahihi sababu yupo wa ubavu wangu
5.Nikifulia kiuchumi au nikipata misuko suko rafiki yangu wa pekee ni mke wangu kwani sina mshkaji ambae anaweza kunipa 10m nikatibiwe moyo india ila mke wangu anaweza uza hata nyumba yao na ndugu zake wakiwa ndani nikapelekwa india usku wa manane.
note:
SIKU UTAKAYO OA TU HAKUNA MWANAMKE UTAYEMTONGOZA AKAKUKATALIA NA WAZURI ZAIDI YA MKEO NDO WATAZIDI KUKUSHOBOKEA
SABABU?
SHETANI YUPO KAZINI

Na ww si utoke tu humu usimuue mtoto wa watu kwa preshaaaHaitumiagi ila ananionaga na anakereka sana mi kuwa humu. Inaniondoleaga attention kabisa
Bado sheikhBado tu mrejesho?
Mara hii ushaoa na kuacha?🤣🤣🤣Nilioa kwa sababu nilimkuta mwali Bado bikra nikasema yes she is mine
Ila
Nilimuacha kwa sababu ya mdomomdomo wake,kukosa pesa,dharau zake na kupigwa virungu Mara kwa Mara upande wa wakwe.
Miaka mi4 ishatimia mkuu shusa mrejeshoNdani ya miaka mi4 hii nitarejesha mrejesho wa hili sheikh