Recent content by ICT OFFICER

  1. I

    JamiiForums Tanzania TANESCO ni kwamba kuna mgao au kuna shida gani? Kwanini kila siku mnakata umeme?

    Jamaa wanakata umeme kama utafikiri umeme ni wa msaada wakati tunatoa pesa zetu
  2. I

    JamiiForums Tanzania TANESCO ni kwamba kuna mgao au kuna shida gani? Kwanini kila siku mnakata umeme?

    Pole sana mkuu, hawa jamaa wanazingia mno
  3. I

    JamiiForums Tanzania TANESCO ni kwamba kuna mgao au kuna shida gani? Kwanini kila siku mnakata umeme?

    *** UPDATES **** Sasahivi umerudi Baada ya kusoma thread yangu Pumbavu zao
  4. I

    JamiiForums Tanzania TANESCO ni kwamba kuna mgao au kuna shida gani? Kwanini kila siku mnakata umeme?

    Yaani TANESCO kila siku mnakata umeme, tena mnarudisha jioni pasipo kutangaza, hasa kwa Wilaya ya Ubungo! Hamuoni mnakosesha Shirika mapato (mnahujumu jamii)? Hapa nagundua mambo fulani: 1. Wahandisi wa TANESCO hawapo vizuri sana kiutendaji 2. TANESCO mnajiona mungu watu, mnakata umeme...
  5. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania TALA&BRANCH kwanini system zenu rahisi kuibiwa na kusababisha mpate hasara kubwa

    Sasa lengo lako ni nini??, kama umeshindwa kuweka procedure hapa watu waprove ni bora ungekaa kimya tu mkuu. Au unataka watu waku bembeleze + PM ili uwaelekeze...?...bora usinge fungua uzi alafu inashindwa kuelekeza watu Kwani kama ni tatizo umeshindwa kuwasiliana na hao branch & Tala... kwani...
  6. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania TALA&BRANCH kwanini system zenu rahisi kuibiwa na kusababisha mpate hasara kubwa

    Kiki hizi... au unatafuta kazi hapo?
  7. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Web application

    Yaani hiyo system ambayo umetengeneza kwa kupitia PHP, HTML, & CSS.... unaichukua unaiweka kwenye computer moja ambayo inaitwa server ( hosting). Either inaweza kuwa locally(within LAN) au Global (WAN) Ili uweze kuitumia hiyo system inakulazim uwe cinnected na net au LAN respectivelly...
  8. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Web application

    Hizi huistall kama microsoft word au vlc, unachukua file zake unazi host kwenye server, alafu computer nyingine zinaivuta hiyo system via browser kwa kuweka IP address ya server Mfano 192.168.172.192/sysem
  9. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2G, 3G, H, H+, E, alama mbalimbali za Mobile Networks zinazowachanganya watumiaji wengi wa simu

    Kuna tofauti kati ya 4G and 4G LTE MFANO tiGO wanatoa 4G LTE Voda Wanatia 4G pekee 4G LTE inaspeed zaidi ya 4G ingawa tofauti ni ndogo sana
  10. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Web application

    Kwa PHP, html & css haiwezekani bro.... labda tengeneza kwa Java au Phython ndio unaweza kutengeneza .exe file ambayo unaweza kuinstall kwenye computer....
  11. I

    JamiiForums Tanzania Ni kweli bara la Australia lipo Upside down?

    Havieleweki
  12. I

    JamiiForums Tanzania Brazil pia kuna Mlima Kilimanjaro!

    Aisee
  13. I

    JamiiForums Tanzania Je, wajua DART yaingiza kiasi gani kwa siku, mwezi hata kwa mwaka hata kama hawataki tuhoji hii? ni zaidi ya bilioni

    PIA KUMBUKA UDART WANALIPA KODI YA KUTUMIA BARABARA ZA DART SHILINGI 8,000, 000 KWA SIKU KWA MWAKA DART WANAINGIZA SHILINGI 2,920,000,000
Back
Top Bottom