Recent content by Ichwampaka

  1. I

    Teknolojia isiathiri utu wetu, Polisi Tanzania msifanye kazi kwa mhemko. Trafiki 2 warudi Ofisini haraka

    Naunga mkono hoja. Pamoja na kero za trafiki barabarani lakini hawajawahi kumlazimisha mtu kutoa hongo. Tena huwa wanawashawishiwa sana wapokee hongo. Hivi uliyepiga hiyo picha unapata faida gani kwa askari hao kufukuzwa kazi? Jeshi la Polisi tunaomba hao Askari wasamehewe
  2. I

    Kongole Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule

    Hapana hanituma; hata jina hanifahamu ila kwa sura nina uhakika ananifahamu nikimkumbusha mawili matatu atanikumbuka.
  3. I

    Kongole Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule

    Kushirikiana na viongozi mbalimbali ameweza kulipatia ufumbuzi tatizo la madada poa waliokuwa kero kubwa sana mitaa ya nyuma ya ''Ambience Club''.
  4. I

    Kongole Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule

    Kuna mgogoro mkubwa sana wa taasisi ya dini moja ambao umedumu miaka 12 ameweza kuutatua bila hata kujitangaza au kupiga picha na viongozi wa pande zote mbili kuashiria kumalizika kwa mgogoro kama ambavyo wengine wangefanya.
  5. I

    Ukweli ni kwamba, mkuu wa wilaya ya Kinondoni hafiti kabisa kuongoza wilaya yetu

    Daah kweli nimeamini kuna chuki binafsi na usiamini mambo ya mtandaoni. Utendaji kazi wa huyu DC hauhitaji kumulikwa kwa tochi au kupimwa na darubini. Itisha mkutano wa hadhara kila kata tupate public opinion juu ya huyu DC nina uhakika atapata zaidi ya 95% Ni msikivu, mnyenyekevu, hana...
  6. I

    Kongole Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule

    https://www.jamiiforums.com/threads/paul-christian-makonda-anafaa-kuwa-waziri.1758443/
  7. I

    Kongole Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule

    Papasi au Kiroboto ananyonya damu. Sasa kwa DC utanyonya damu gani? Bora angekuwa Mkurugenzi ana mafungu ya kutosha
  8. I

    Kongole Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule

    Ndio kimempika? Kumbe alitokea huko?
  9. I

    Kongole Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule

    Nampongeza Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Saad Mtambule kwa utumishi wake uliotukuka. Tumpe mtu maua yake anapostahili sawa na tunavyowakosoa. Sifa kuu za DC Mtambule ni hizi: 1. Msikivu sana, katika kupokea mashauri, kero na malalamiko ya wanachi na watendaji 2. Ni mfuatiliaji mzuri wa mambo...
  10. I

    Leo Daktari naongea na vijana, ukipata mwenza wa dini/imani tofauti na yako vunja hayo mahusiano mapema

    Ushauri wako ni mzuri mno, natamani kila mzazi mwenye kijana wa umri ampatie hili. Ukipuuza hapa hii ni mojawapo ya chanzo cha migogoro mingi kwenye ndoa
  11. I

    Paul Christian Makonda anafaa kuwa Waziri

    Sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha; kutoka Chamani karudi Serikali Kuu. Taratibu tu.
  12. I

    Wananchi wa Tanzania tunakupongeza Rais Samia kwa mazuri unayoyatenda

    Wananchi wa Tanzania tunakupongeza kwa mazuri ambayo unayatenda. Usikatishwe tamaa na kelele sisi tulioishi muda mrefu na kujua mwenendo wa nchi tunakuona unaenda vyema sana. Furaha, amani, mshikamano miongoni mwa watanzania ni wa hali ya juu. Uhuru wa kuabudu, uhuru wa kutoa maoni, hata uhuru...
  13. I

    Paul Christian Makonda anafaa kuwa Waziri

    Sawa , muda ni mwalimu mzuri sana. Tutarudi hapa kukagua posts zetu
  14. I

    Paul Christian Makonda anafaa kuwa Waziri

    Paul Makonda; Secretary for Ideology and Publicity for Chama Cha Mapinduzi (CCM)
  15. I

    Maboresha makubwa hospitali ya Muhimbili

    Kalamu zetu hupenda kuandika mabaya tu, tukiona mambo mazuri twaona inda kupongeza
Back
Top Bottom