Recent content by ichumu lya

  1. ichumu lya

    Watanzania wana ya moyoni kasoro kupindua nchi

    Bichwa bovuuuuu
  2. ichumu lya

    Watanzania wana ya moyoni kasoro kupindua nchi

    Kizazi cha kubeti.
  3. ichumu lya

    PreGE2025 Rais Samia awaambia CCM: Tusiingiwe na pepo la kuwaogopa Wapinzani

    Kishindo cha wakoma kinawakimbiza washami
  4. ichumu lya

    Tutafakari pamoja: Waziri Mkenda anaposema wasaidizi wa Rais waliweka kauzibe asimwone mkuu wa nchi, hadhi ya Waziri ipoje kwani?

    Kwa nchi yetu waziri ni formality tu hawana msaada kwa Rais wala nchi wao nikama visemeo (koni) kazi yao ni kupiga kelele na kuiba ela.
  5. ichumu lya

    Donald Trump ni Rafiki wa kweli wa Afrika, wajinga na wanufaika wa misaada pekee watalaumu maamuzi yake

    Mkuu America inaifaidi Africa kuliko Afrika inavyoifaidi America fikiri wanaleta vyandarua wanaondoka na tanzanite au dhahabu kutokana na upumbavu wa watawala wa kiafrika.
  6. ichumu lya

    Matamanio ya Trump juu ya Afrika je waaafrika tunayachukuliaje?

    "TRUMP ASITISHA MISAADA YA NJE KWA SIKU TISINI, WHO YAAHA KUTAFUTA NJIA YAKUJIKWAMUA KWA KITISHO CHA TRUMP " Anaekulisha anakutawala anae kuvisha anataka umnyenyekee alisema Castro badae Sankara Kisha Traole Sasa ni wakati wawaafrika kuamka kwenye usingizi. Mzito uliojaa ndoto butu zakuitegemea...
  7. ichumu lya

    Eti mtu anajisifia ni PhD, halafu PhD ambazo hazina mchango wowote kwenye maendeleo ya nchi hii

    Lakini bado kuna wachumi kama kina Prof.Lipumba kuna wanasheria kama Prof.Kabudi na kina Prof.Kitila wote awa ni kizigo kwa taifa au sisi wananchi ndio mizigo tunaoshindwa kuwawajibisha.
  8. ichumu lya

    Tundu Lissu nenda taratibu, tumia hekima na busara kumaliza tofauti zako na Freeman Mbowe. Vinginevyo mnaiua CHADEMA

    Mkuu hizo ni njia za kivita zilizokaa kimafumbo hauwezi kuelewa mpaka upate watu wakusaidie kutegua fumbo hili. Nchi hii mkienda kwa kusikilizana hamuwezi kufika mbali kwangu mimi naona njia hii ni salama kuliko kudanganyana.
  9. ichumu lya

    Ziwa Victoria limewahi kukauka maji yote mara tatu

    Hakuna watu wasiojari historia na vitu vingine vya kwao kama Wahaya. Kwenye hili kaa kushoto lete utetezi mwingine
  10. ichumu lya

    Ziwa Victoria limewahi kukauka maji yote mara tatu

    Unakubaliana na historia? Je kumewahi kuwepo na ghalika?
  11. ichumu lya

    Ziwa Victoria limewahi kukauka maji yote mara tatu

    Akili na wewe nani alitangulia? Jifunze kutulia
Back
Top Bottom