mimi nadhani nitakuwa wa mwisho kuamini kwmba ni kweli msomi wa Shahada ya Uzamili ambae amefanya tafiki na kuzitetea mbele ya wasomi wabobevu (ma-Profesa) Ashindwe kusoma kiapo tena kilichoandikwa kwa kiswahili Kwa font kubwa kabisa, HAPANA lazime tukubali kuna sababu nyingine nyuma ya haya...
Upinzani Nchi hii naona bado sana, kama vyama zaid ya 10 (vya upinzani)vinapingana vyenyewe kuitaka Dola sisi wananchi tufanyeji, Upinzani utashika Dola pale tu utakapokua na sera mbadala na pia utakapokuwa na dhamira ya dhati yakuacha tamaa ya madaraka na kuamua kuungana dhidi ya Chama Tawala...
nais inasababishwa hasa na kuwa dependant, bado hujajitegemea hivyo kupelekea maamuzi yako yote kubase on watanielewaje, ntaishia wap n so many more. its matter of time hofu itaisha.
Tuendelee kuchkua tahadhari, nawa mikono kwa maji tiririka na sabuni mara kwa mara, vaa barakoa uwapo sehemu zenye mikusanyiko, tumia sanitizer na epuko mikusanyiko isiyo ya lazima. Corona inaepukika.
n.b kwa hisan ya wataalam wa afya.
Mkuu hili la watumishi kupunguziwa mishahara siliungi mkono, badala yake ungeshaur kada na status ya huyo mtumishi wakupunguziwa mshahara, mathalan mwalimu wakawaida kabisa mwenye makato Lukuki ukimpunguzia hata 5% ni sawa na umemfukuza kaz kabxa ,mana hata weza kusurvive.
Mdau alieshauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.