Recent content by ibwe ijewa

  1. I

    Rais Magufuli anastahili tuzo ya Mo Ibrahim

    Umeandika kichekesho,tuzo za mo ibrahimu hazigawiwi kama kutoa biskuti
  2. I

    Waziri Mahiga afungua ubalozi wa Tanzania nchini Israel

    Sasa wazo ni kuhamia jerusalem kwa nini wamejenga tel aviv
  3. I

    Rais Magufuli: Chuo chochote kitakachojaribu kugoma sitasita kuwafukuza, tena kwa muda usiojulikana!

    Fedha za udsm zinahamishiwa sua,sjui waliopanga ziwe za udsm walikosea
  4. I

    Kama wanaosoma 'private schools' hawastahili mkopo basi na ajira wasipewe?

    Dah,kumbe ukipata pesa nchi hii ukapeleka mtoto private ni kama kosa vile,ni sera ya hovyo na ya kimskini kabisa
  5. I

    Rais Magufuli: Kama umesoma 'private school' atakayekupa mkopo ni kichaa

    Hili jambo limenisikitisha sana,inabidi bunge walijadili hili,linakatisha watu tamaa kabisa
  6. I

    Hayati Dkt. Magufuli, Watanzania kila kona ya nchi wanakulilia wewe, imekuwaje?

    Mipango ya magufuli inaumiza lakini baadhi yake italeta faida
  7. I

    Tukiwa tunasambaza taarifa za ujio wa Lissu tukumbuke yaliyompata Masinde Muliro uwanja wa ndege

    Mashaka haya hata mimi ninayo,wakati wa kurejea inabidi uwepo umakini mkubwa
  8. I

    CHADEMA: Uchaguzi wa Mwenyekiti Taifa lini?

    Kila jambo na wakati wake,muda ukifika atatoka
  9. I

    Kuipa Dodoma hadhi ya Jiji ni lazima kujadiliwe

    Siijui dodoma hebu anayeijua iringa ailinganishe na dodoma
  10. I

    Airbus A380 kwa mara ya kwanza imetua Tanzania uwanja wa JNIA

    Kweli Tanzania tuko nyuma ona ndege hii kubwa inaenda kwenye nchi ndogo namna hii wakati Sisi wa kubwa hatuna kitu
Back
Top Bottom