Jamani ndugu zangu wana JF, ninalo wazo kabambe la Biashara. Mazingira yote ya biashara nimeshajiridhisha nayo.
Na wazo langu haliko na mambo mengi, lakini kila kitu kipo kwa uhakika. Nipo Dar es salaam
Natafuta mtu tunayeweza kuingia naye ubia katika biashara hii itakayogharimu Tsh 500,000...
Mtazamo ni kitu hatari sana...
kuna siku niliwahi kujiuliza, kwamba kwanini askari ukikutana naye mahali na ukamsalimia, wengi wao hujibu kwa ukali au kama hajapendezwa na salamu yako hivi.
Nikagundua kuwa kumbe kimachowatesa wao ni mtazamo ambao wamejiwekea kana kwamba mwananchi ni mkosaji...
Pole sana ndgu yangu.
Kitu cha kwanza ni vizuri kuwa na mipango katika maisha lakini usijiwekee mipango mikubwa kuliko namna unaweza kufanya.
Pili, ni vizuri kuweka mipango unayoweza kuitekeleza.
Lakini kwasasa pambana na hii hali ya kukata tamaa, mimi ninaamini bado una nafasi ya kuinuka na...
Uongozi bora kwa maendeleo, ukipigwa katika uongozi umepigwa katika maendeleo. Fuatilia historia yetu, utaona kuna awamu fulani za uongozi zilileta mabadiliko makubwa sana katika maendeleo ya taifa hili tofauti na awamu zingine.
Nina mtaji wa tani zaidi ya 15 za maharage kutoka mkoani Songwe (maharage ya njano) na ninahitaji kupata soko la uhakika hapa jijini Dar es salaam, kama unadetails za biashara hii ninaomba tushare tafadhari, asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.