Recent content by Ibrahination master

  1. Ibrahination master

    Wakali wa punchline nani mkali zaidi? (TUPIA MISTARI )

    Sina demu wa kizungu na kipara sina rasi, yeah yeah siunataka kula nyasi, umbea umbea siku hizi kwangu basi, so kutembea sikuiz nanyoosha miguu kwa PASI,
  2. Ibrahination master

    Wakali wa punchline nani mkali zaidi? (TUPIA MISTARI )

    Master sio superstar yeah sina laki, tukianza kucheki kwenye game mi ni beki, we bishoo unajiita una dem kudadeki, dem mwenyew chuchu kusimama mpaka apge deki, of coz kwa freestlye umefeli, ukiona tatzo nyota bonyeza ziro na reli
  3. Ibrahination master

    Wakali wa punchline nani mkali zaidi? (TUPIA MISTARI )

    Kwenda veta so lazma uwe na gari, na mie cpingi oh na cpendi viajali, master JF Kwa freestyle ni hatari, ukimtoa scars pundamilia ndo ana mistari,
  4. Ibrahination master

    Wakali wa punchline nani mkali zaidi? (TUPIA MISTARI )

    Marapa fake huwa nawala kama mboga, nkisimama nko fresh kama mnara ama uyoga, kwa punchlne nko juu SIFAI, Mgonjwa wa kisukari namwongezea na dripu ya CHAI, Maneno ya kuambiwa mi staki, wanaweza sema rasta hali nyama anakula mishkaki,
  5. Ibrahination master

    Wakali wa punchline nani mkali zaidi? (TUPIA MISTARI )

    Shut up broo twende polepole, Umenisoma broo naomb usininyoshee kidole, maana kdole huweza ktumika kama nuksi, kidole cha kati nacho htumika kama tusi, kidole kina mambo meng bwana mdogo, meng ya kijinga na kutaja mpaka shobo, sasa mzee mwenzangu let hoja twende sawa, weng wanasema kdole kimoja...
  6. Ibrahination master

    Wakali wa punchline nani mkali zaidi? (TUPIA MISTARI )

    So mim apo mkuu aunt wang huyoo
  7. Ibrahination master

    Wakali wa punchline nani mkali zaidi? (TUPIA MISTARI )

    wenye chuki za moyon bdo wana kovu, wanameza sabuni et wanitemee mapovu, atafutae hachoki hawaoni ni vipofu, alienambia ni switch sjui ni ON ama OFF, i can't rap hii ni trela, kwa marap flan wanarap wanakela, scar kama vannesa yule wa kisela, hela znmalza shida na shda znamalza sana hela.
  8. Ibrahination master

    Wakali wa punchline nani mkali zaidi? (TUPIA MISTARI )

    Kila napoona biti ipo uchi naikonyeza, mizuka ikpanda smetimes naibusu naichombeza, sisubiri gesti hata chocho naibonyeza, verse kali naulza ukivaaje unapendeza, Ni vita ila kama hujui usiwake, yanin rafki ambae hakujui kwnye chake, uadui mbona mwake, we hushangai msumari una nchi 6 ila hatumjui...
  9. Ibrahination master

    Shule ni hatari tupu!

    Mwalimu akiwa anafundisha mara kipepeo anatua ubaoni mwalimu anaamua kuwaambia wanafunzi "aisee vipepeo huwaga na rangi nzuri sana" mwanafunzi mmoja anaropoka "NDO UNAJUA LEO" Ungekuwa mwalimu ungemfanyaje?
  10. Ibrahination master

    Official master

    Asanten ndugu tupo pamoja.
  11. Ibrahination master

    Official master

    I need your cooperation
Back
Top Bottom