Kuna cha muhimu zaidi kabisa hujakiweka kile cha waaaah waaaaah.kiashilia cha shambulio la mabomu,kujuza watu waende kwenye mahandiki na Dhani ni bora kuliko vyote.
Safari ya putin kukutana na trump Alaska.warussia walibeba kibonyezeo cha makombola ya nyukilia,kwamba endapo putin atakamatwa kwa mpango wa kumfungulia mashitaka,basi wao wange bonyeza ilingoma iwe bye bye
Pale kenya ni mtego eneo la udalali wakupokelea malighafi kwa nchi za jirani.watu hutorosha madini bongo/congo nakupeleka kwa weupe pale kwenye ofisi zao.ndio mana wanapaenda huoni wameita ushirika wa mwanachama wa NATO na kuna base ya jeshi marekani.
Alaska mmarekani alifika bei russia akapita na kibunda.trump anapenda marekani inunua kisiwa cha green land.so biashara inawezekana.ndio mana izrael wako lazi wakanunue eneo nchi yoyote ili kuwahamisha watu wa GAZA
H
Hapo amelukaluka kama amekanyaga tope la rudio.huwez sema tipa m70,bila kujua kiasi cha bpm inasomaje na gharama za uendeshaji zilifika ngapi,m70 sibora apeleke mwenyewe plant.
Kuna hii inatesa sana utakuta unagusa chuma inatokea spark na kamlio kabisa yani taaa na mwanga mweupe.nilibaini sku nililalia shuka za tetron site vs kitanda cha chuma.nilipata shida ule usiku aisee.
Kinacho fanywa na Chat GPT na program zingine kama hizo.sio kipya ila inakusanya taarifa za ufafanuzi zilizo wahi kuelezewa na kutunzwa katika server.wala hakitoki nje ya ulimwengu.Mf.ukihoji kitu yenyewe itachakata na kutafsiri ulicho kihoji kufuutana na taarifa zilizo hifathiwa awali.
Uboho ama kwa jina la kitaalam, Bone Marrow, ni ute unaopatikana ndani ya mifupa mirefu katika mwili wa binadamu huku kazi yake kubwa ikiwa ni kuzalisha chembechembe za damu ambazo zina kazi mbalimbali mwilini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.