Mimi kuondoka ni ngumu, pia yeye sidhani kama anashida ya kuongeza plot, maana plot yake ni kubwa ni kwamba tu kanisa analipanua kuja kwenye nyumba yangu wakati angeweza kuongeza kwa upande mwingine.
Hakuna namna za kisheria za kimakazi zinawezesha sisi majirani kuweza kutatua hili?
Habari wanandugu,
Mimi ni mkazi wa gongo la mboto (mongola ndege), maisha yalikuwa safii tu bila usumbufu wowote ila sasa kuna kiwanja cha jirani hapa wamefungua kanisa.
Ni ibada sawa hakuna pingamizi kwenye hilo, ila sidhani kama alifuata taratibu zozote za kimakazi katika kuanzisha kanisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.