Hatukatai ni mfumo mzuri wa uuzaji ila sasa unanunua hicho kiwanja,je umefika hapo mahala kilipo kiwanja,unafahamu huduma za kijamii zilizopo,umbali kati ya eneo husika na barabara kuu unaufahamu,na malipo yake yakoje?
Sisi wenye makampuni binafsi tunakuhakikishia uhakika na usalama wa pesa...
Habari ndugu mtanzania mwenzangu.
Tunakukaribisha sana katika uwekezaji kwenye idara ya ardhi.
Sisi PMG AND ASSOCIATE COMPANY LIMITED tunajihusisha na shughuli mbalimbali kama :-
👉🏿Uuzaji wa viwanja na mashamba
👉🏿Upimaji wa ardhi
👉🏿Ubunifu na usimamizi wa majengo
👉🏿Urasimishaji
Na kwa maeneo...
Ni kweli watu wanatapeliwa sana kwa sababu wachache wao wanataka ardhi kwa bei nafuu ilhali thamani ya ardhi iko juu zaidi kwa mfano huo wa mkoa wa pwani wiliya ya bagamoyo
Kama ni BAGAMOYO ni chaguo sahihi kwenu,basi msisite kufika katika kampuni yetu ya PMG and ASSOCIATE Co.ltd kupata fursa ya viwanja vilivyopimwa na kupangwa kwa matumizi mbalimbali.
Kwa maelezo zaidi piga simu 0674376678
Muda wa kurudi saa tatu usiku na hakuna kuingiza wanawake ndani kwake ss kanikuta mwamba narudi saa tano usiku na nikirudi naenda mgongea dirishani kwake basi anakereka na hao wanawake ni kama nafundisha darasa vile leo huyu kesho yule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.