Nilimuuliza Afisa mmoja akasema tayari wameshaingiza kwenye database ya hapo Mkoani bado kwenda Makao , na je , unaweza ukawa na uelewa wa Calculation za mafao maana mama alifariki Mwaka Jana , na alianza kazi mwaka 84
Habarini wanaJF,
Naomba kufahamu PSSSF, ukisha submit Taarifa za mhusika ambaye ni mteja wao ambaye ameshafariki inachukua muda gani kupata mafao yake.
Ahsante
Je , unahitaji kufungiwa cctv camera kwa bei nafuu na kukuwekea katika simu yako ya mkononi kukuwezesha popote pale uweze kuangalia matukio... na pia kukufundisha namna ya kutumia na kutunza matukio , karibu sana wasiliana nasi kupitia namba
0752 517175
0713 164090 Whatsapp
0787 338 261...
Habari za Jumapili hii , Kwanza kabisa namshukuru mwenyezi mungu kwa kunifikisha tarehe kama ya leo, am so happy ila nazidi mwomba anifikishe 2015 pia.
Leo napenda kuwafahamisha ya kwamba kama wewe ni mjasiriamali na uko Mwanza kwa ukaribu zaidi na hata kama uko mikoa mingine, leo ni fursa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.