Recent content by IBRAAH

  1. I

    Afande Sele akigombea Ubunge kwa CHADEMA tofauti yake na VICKY KAMATA wa CCM ni ipi?

    mbona JUMMA NKAMIA mvuta SIGARA KUBWA a.k.a dawa ya ufahamu.
  2. I

    Mwandosya: Makinda anafaa kuwa rais 2015!

    Alikuwa NAPE NAUYE. katib mwenezi na itikadi wa C.C.M.
  3. I

    Mwandosya: Makinda anafaa kuwa rais 2015!

    Mi nafikir mwandosya kashindwa kusema c.c.m hakuna kiongozi wa kuwa rais. Rais mzuri na wakweli anatoka CHADEMA. ina maana hapo kadhihirisha kusema 2015 chadema lazima iingie ikulu.kafanya hivyo makusud ili ccm wamsimamishe makinda ili chadema ichukue nchi.
  4. I

    August 28, 2013: Yanga vs Coastal-Taifa | Rhino vs Azam-Tabora | Simba vs JKT Oljoro - Arusha!

    Matokeo kama yatakuwa kama ifuatavyo. 1:yanga 3-1 coast 2: simba 2-2 jkt oljoro 3: azam 2-1 ryno.
  5. I

    barua ya wazi kwa wanajangwani

    mkuu mandieta.kumbe kama na msimbazi wana buku4 kama zile buku 7 sa LUMUMBA PROJECT?
  6. I

    barua ya wazi kwa wanajangwani

    kwani uliambiwa mwez wa nane utakuwa tayar umekamilika na kuanza kutumika?
  7. I

    Watangazaji wa Sports Xtra waache "swaglish"

    sio tu watangazaji wa sport extra pekee kunaviledio vichanga tu vinachipua kama uyoga wana ulimbuken wa lugha sana unakuta kipind cha kiswaili anatumia muda mwing kuongea kiingereza na kiingereza chenyewe hakimudu huwa wananikera sana na huwa na waita washamba wa tangazaji wa aina hii.wakiome...
  8. I

    Mbowe sasa avuka mipaka, afanya matumizi ya gari la serikali kwa shughuli za CHADEMA

    hapa juz kaja balozi wa china IRINGA kwenye shughuli za chama na kasindikizwa na magari ya ccm na serikali yenye SU.je hilo sio kosa amakweli nyan haon kundule.toa kuti ktk jicho lako ndio utoe kibanzi kwenye jicho la mwenzako.
  9. I

    KIAPO CHA KUMKATAA LOWASA KAMA RASI 215 soma

    hivi KALA JEREMAYA.aliwaza nn hadi aka ikana mistari katika wimbo wake? tunasema hip hop.harakati sasa kala...kaamua kuuza utu wake kwa dhaman ya fedha.masikin sio mda tunamsahau huyu mtu.SHAME ON YOU KALA.
  10. I

    Live Updates: Mkutano wa CHADEMA Iringa (Kihesa Sokoni)

    bado mkuu madiwan wameamuriwa na sumatra kutumia kama stend na ilitakiwa madiwani wao ndio waamue juu ya matumiz ya mji.
  11. I

    Live Updates: Mkutano wa CHADEMA Iringa (Kihesa Sokoni)

    mkutano umemalizika na watu wanawahi manyuman na ratiba keshi ni eneo la mrandege nilie walitea live habari hiz ni mim IBRAAH.....KWA HISAN YA CHADEMA.
  12. I

    Live Updates: Mkutano wa CHADEMA Iringa (Kihesa Sokoni)

    mkutano umemalizika na amewaomba wananchi wachangie ujenzi wa ofisi ya chadema na watu wamejitokeza na wamekubali kuchangia.
  13. I

    Live Updates: Mkutano wa CHADEMA Iringa (Kihesa Sokoni)

    MAJIBU;suala la nyumba za mafifi anasema ngoja alichunguze hawezi kutolea ufafanuz sahiz anaomba atafika eneo husika la mafifi aangalie ndio atatolea ufafaunuzi.
  14. I

    Live Updates: Mkutano wa CHADEMA Iringa (Kihesa Sokoni)

    MAJIBU: swala kla michango ya elim anawaomba wadau wa elim ikiwa pamoja na wananchi na wakaz wa manispaa kuendelea kuchangia masuala la elim ili tuendele kuinua taaluma yetu.
  15. I

    Live Updates: Mkutano wa CHADEMA Iringa (Kihesa Sokoni)

    MAJIBU:KUHUSU MASHINE TATU.anasema madiwan walitakiwa kuwapangia sumatra juu ya mipango yote ya mji lakin sumatra ndio walipangia madiwan namna ya matumizi ya eneo la mashine tatu.kubadili kuwa standi. SWALA LAIN:ANASEMA KUNAFOM ZINAPITA KUPINGA SWALA LA KODI ZA LAIN.NA MNYIKA AMESHA ANZA NA...
Back
Top Bottom