Recent content by Iblis Bin Shetan

  1. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Huu utaratibu wa kulazimisha mtu awe na majina matatu hata kama vyeti vyake vya taaluma vinayo mawili siyo sawa

    imenisaida maana kuanzia hapo hadi na hadi leo sijawahi kupata usumbufu mahali popote iwe form 4 chuo au kazini au nida maana vyeti vyangu vyote au vitambulisho vina majina matatu
  2. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Huu utaratibu wa kulazimisha mtu awe na majina matatu hata kama vyeti vyake vya taaluma vinayo mawili siyo sawa

    Nilipokuwa darasa la 4 18 years ago nilianza kutumia majina matatu maana nilikuwa najua hili jambo na nilipata mawazo hayo baada ya kuangalia cheti changu cha kuzaliwa wengine tunamakarama yaan maono tunaona future:3Heading:
  3. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu anapenda sana kuikalia wakati wakati wa kufanya mapenzi

    Akili yake ishalemaa kama hukumkuta bikra basi ujue hiyo ni ishara ya kumkumbuka mpenzi wake wa zamani ambae anampenda hadi leo
  4. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahisi mke wangu anajichua

    wanawake wa leo hawaridhiki sijui wana shida gani
  5. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Ajali kazini: Shetani mwekundu amezidiwa nguvu na kudondoka

    Maskini pole yake
  6. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Mtume Mohammad (S A W)

    alivaa kilemba cha rangi ya udongo na nguo nyeupe ana ndevu nyingi na sura yake nyembamba alikuwa anatufundisha somo la phyisics
  7. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Mtume Mohammad (S A W)

    Huyu jamaa alikuwa geneous kwa hakika japokuwa hakusoma mie nilimuona ndotoni akiwa anafundisha hadi sura yake nilimuona
  8. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Mie mshahara ukitoka hata siku 7 sitoboi ushaisha :D:D
  9. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu Wakristo naomba ushahidi wa Aya za Biblia kuonyesha Yesu kwa kinywa chake akikiri kuwa alikuwapo kabla ya Uumbaji wa mbingu na nchi

    Ukiacha biblia kitabu cha uwongo na hadithi za kusadikika weka ushahidi yesu amewahi kuwepo duniani
  10. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu Wakristo naomba ushahidi wa Aya za Biblia kuonyesha Yesu kwa kinywa chake akikiri kuwa alikuwapo kabla ya Uumbaji wa mbingu na nchi

    Sio ushahidi tu huyo Yesu mwenyewe hajawahi kuwepo hizo ni hadithi za kubuni watu wamekopi kutoka ktk dini ya ugiriki ya kale na Hindu na wakristo na waislam wakaiba huko kumbuka Hindi na Greek na Misri ndio zilikuwa dini kubwa kabla ya evolution ya Babel
  11. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Ila walimu wa shule za Serikali wanajiaibisha sana

    Hivi watanzania nyie tumewakosea nini sie walimu kila siku ni kutusimanga tu mnakera 😆😆😆
  12. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Wachawi ni noma hicho kimetoka kitandani anapolala mamaangu

    kabisa sasa mie ni kama Yakobo hakuna uchawi utakaoniroga
  13. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Wachawi ni noma hicho kimetoka kitandani anapolala mamaangu

    Kwa mujibu wa quran na ukristo kurogwa kuna wezekana kuna watu kibao wamerogwa katika historia ya ukristo na uislam mfano muhammad aliwahi kurogwa kwa kupitia kitana na ukiristo ndio usiseme hadi kumtoa jini wanafundisha kwa maana ushaelewa kuhusu uchawi
Back
Top Bottom