Recent content by Iblis Bin Shetan

  1. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania 90% ya ukilaza wa mtoto chanzo ni wazazi

    Kila mtu na uwanja wake tukiwekwa darasani na Messi then tufundishwe hesabu Nina asilimia 100 hawezi nishinda katika hesabu nitamshinda hata tukifumdishwa miaka 10 hawezi nipita
  2. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Kama moto uligunduliwa na mwanadamu duniani je huko jehanamu/mbinguni ulifikaje?

    Sasa unaongea jambo halipo halafu unataka majibu hivi unaa akili wewe kitu hakipo halafu wewe unalizimisha kipo huoni unajipinga mwenyewe
  3. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Mke wangu hana hamu ya kufanya mapenzi na mimi. Nifanyeje?

    amka kuna mtu anamgonga huyo au hakupendi sie wengine mwanamke anaanza yeye kama Mm mara nyingi anaanza yeye kwakuwa muda mwingine nakuwa nachoka
  4. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Kama moto uligunduliwa na mwanadamu duniani je huko jehanamu/mbinguni ulifikaje?

    Acha papara nyie ndio mnawmbiwa andika t for true we unaandika true mtoa mada kasema mbinguni au jehannum na mie nauliza mbinguni ndio wapi yaan yeye nani kamuambia kuna mbinguni
  5. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha Husda, Chuki, Wivu,Ugomvi kati ya Waislamu wa Shia na Sunni. Na Shia huwadharau Sunni kwa kuwa wao wanaonekana wana Elimu na Akili

    Shia tunajielewa sio waislam oya oya sie hao Sunni hata elimu dunia hawataki
  6. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Kama moto uligunduliwa na mwanadamu duniani je huko jehanamu/mbinguni ulifikaje?

    Wewe nani aliekuambia kuna Mbingu
  7. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Wazee wa Ilala wamuomba raisi Samia kusaidia mgogoro wa Masjid Al Rishaad

    Sunni wanamatatizo sana sie shia tunawazoom tu wao ndio wanajiona wana haki yaan wanaona waislam wengine hamna kitu hawana tofauti na Sabato hawa
  8. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Msaada sina kabisa nguvu za kiume

    Ilo tatizo mie lilishawahi kunikuta nikiwa na miaka 23 aisee niliteseka nilichofanya nikawa nafanya mazoezi ya kukimbia kila siku kilometre zaidi ya 6 nilianza taratibu badae nikawa master nikawa nakula kitunguu Swaumu kwa muda wa mwezi na maji ya kunywa lita 3 na nikawa naimbia akili yangu kwa...
  9. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Kwa lugha nyepesi Geita yote chini ya ardhi ina dhahabu

    Ushirombo kwa mama watoto kuna vumbi sio mchezo siku ya kwanza nilikooa mpk nikaenda pima TB
  10. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Kwa lugha nyepesi Geita yote chini ya ardhi ina dhahabu

    Mie mawazo yangu pale walipojenga GGM ndio kuna madini huku kwingine hakuna lakini maeneo ya Bwanga kule hadi chato sidhani maana hata udongo wake una utoafuti au hadi kule
  11. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Kwa lugha nyepesi Geita yote chini ya ardhi ina dhahabu

    Kumbe ni futi 90 ngoja nikazane mie nikajua ni Nyamalembo peke yake kwakuwa ipo karibu na GGM kwa hiyo hata sie tuliokuwa hapa Nyarugusu tunaweza pata
  12. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mkoa unakosa maadili kama Dar?

    unaachaje samaki amejileta mwemyewe kwenye ndoano
  13. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mkoa unakosa maadili kama Dar?

    Mimi nilishawahi panda boda maana gari zilikuwa hakuna kabisa kwenda Geita mjini ilikuwa inaenda mida ya saa kumi na moja usiku nilikodi boda kutoka Katoro hadi Nyankumbu baada ya kutoka pale stend ya katoro tumetembea kidogo akasimamisha mdada tukasimama akasema nae anaenda Geita mjini...
  14. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Kwanini Bado una namba ya EX wako?

    sababu za kuachana mfano asilimia kubwa ni kuhama nilihama mkoa mie nilitoka mkoa x na kwenda mkoa y zaidi ya kilometre 1200 na hapo ndio mapenzi yamekufa na nikaaa kama miaka 5 ila tunawasiliana basi baada ya kurudi nimekuta wote wamebebwa japo hadi Leo tunaongea na tena tumekuwa kama Ndugu na...
  15. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Kwanini Bado una namba ya EX wako?

    Mi ex zangu wote huwa tukiachana hatugombani karibia wote ninao namba zao na wananikubali hadi leo kitu ambacho nafurahi nikiomba game hakuna anaekataa basi hapo urafiki wetu umekuwa kama ndugu
Back
Top Bottom