Kila mtu na uwanja wake tukiwekwa darasani na Messi then tufundishwe hesabu Nina asilimia 100 hawezi nishinda katika hesabu nitamshinda hata tukifumdishwa miaka 10 hawezi nipita
Acha papara nyie ndio mnawmbiwa andika t for true we unaandika true
mtoa mada kasema mbinguni au jehannum na mie nauliza mbinguni ndio wapi yaan yeye nani kamuambia kuna mbinguni
Ilo tatizo mie lilishawahi kunikuta nikiwa na miaka 23 aisee niliteseka nilichofanya nikawa nafanya mazoezi ya kukimbia kila siku kilometre zaidi ya 6 nilianza taratibu badae nikawa master nikawa nakula kitunguu Swaumu kwa muda wa mwezi na maji ya kunywa lita 3 na nikawa naimbia akili yangu kwa...
Mie mawazo yangu pale walipojenga GGM ndio kuna madini huku kwingine hakuna
lakini maeneo ya Bwanga kule hadi chato sidhani maana hata udongo wake una utoafuti au hadi kule
Mimi nilishawahi panda boda maana gari zilikuwa hakuna kabisa kwenda Geita mjini ilikuwa inaenda mida ya saa kumi na moja usiku nilikodi boda kutoka Katoro hadi Nyankumbu baada ya kutoka pale stend ya katoro tumetembea kidogo akasimamisha mdada tukasimama akasema nae anaenda Geita mjini...
sababu za kuachana mfano asilimia kubwa ni kuhama nilihama mkoa mie nilitoka mkoa x na kwenda mkoa y zaidi ya kilometre 1200 na hapo ndio mapenzi yamekufa na nikaaa kama miaka 5 ila tunawasiliana basi baada ya kurudi nimekuta wote wamebebwa japo hadi Leo tunaongea na tena tumekuwa kama Ndugu na...
Mi ex zangu wote huwa tukiachana hatugombani karibia wote ninao namba zao na wananikubali hadi leo kitu ambacho nafurahi nikiomba game hakuna anaekataa basi hapo urafiki wetu umekuwa kama ndugu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.