Sio ushahidi tu huyo Yesu mwenyewe hajawahi kuwepo hizo ni hadithi za kubuni watu wamekopi kutoka ktk dini ya ugiriki ya kale na Hindu na wakristo na waislam wakaiba huko kumbuka Hindi na Greek na Misri ndio zilikuwa dini kubwa kabla ya evolution ya Babel
Kwa mujibu wa quran na ukristo kurogwa kuna wezekana kuna watu kibao wamerogwa katika historia ya ukristo na uislam mfano muhammad aliwahi kurogwa kwa kupitia kitana na ukiristo ndio usiseme hadi kumtoa jini wanafundisha kwa maana ushaelewa kuhusu uchawi
Wachawi bhana sijui kwanini ukiwa mjinga mjinga ndio wanakuroga mie kuna wachawi wawili waliwahi kuniroga wakashindwa wakawa wanaiogopa sana huyo bibi mtaa mzima unamuogopa lakini nikimuona simuogopi namsalimia akinituma naenda watu wakawa wana shangaa nilichokuja kugundua kuna watu haturogeki :D:D
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.