angalia ulivyokuwa na akili finyu yaan maelezo yangu yote umeona nyoka tu yaan nyie ndio wale wananyofoa andiko kwa kuchagua neno moja badala ya mstari wote soma vizuri andiko langu acha kunyofoa nyofoa Mimi nimesema ukiona mtu anashindwa kupambana na nature ujue ni dalili ya low iq wewe...
mie niliwahi kumtoa majini na mtu akapona alikuwa mama mmoja mtaan kwetu nilikuwa nasikia ana mapepo sijui majini mie nikaenda akiwa muislam namsomea sura ya majini na suratul baqra aya 102 Ile ya uchawi hapo lazima uyo jini atoke akiwa mkristo ndio rahisi natumia jina la kristo nachanganya na...
Kosa lake ni kutaja Tanzania hapo ndio kuharibu maana sie na Zambia tunashare vitu vingi angeshinda mpinzan mambo yangekuwa ovyo sana Kati ya Tanzania na Zambia hivyo wanqnchi kulijua hilo wakaona wamchinje
Uchawi hakuna asililimia kubwa ni psychology tu ya akili yako ikanza kukubali basi Matokeo yake yanakuwa positive
mawazo yako yana nafasi kubwa kuleta effect katk maisha yako
Hawa Gen z wapo legelege hata nyoka mende panya wanaogopa wakati mie enzi zangu hao nyoka nimeshaua sana tena peke yangu na ukiona mtu anashindwa kupambana na nature ujue hiyo ni dalili ya low iq
Kila mtu na uwanja wake tukiwekwa darasani na Messi then tufundishwe hesabu Nina asilimia 100 hawezi nishinda katika hesabu nitamshinda hata tukifumdishwa miaka 10 hawezi nipita
Acha papara nyie ndio mnawmbiwa andika t for true we unaandika true
mtoa mada kasema mbinguni au jehannum na mie nauliza mbinguni ndio wapi yaan yeye nani kamuambia kuna mbinguni
Ilo tatizo mie lilishawahi kunikuta nikiwa na miaka 23 aisee niliteseka nilichofanya nikawa nafanya mazoezi ya kukimbia kila siku kilometre zaidi ya 6 nilianza taratibu badae nikawa master nikawa nakula kitunguu Swaumu kwa muda wa mwezi na maji ya kunywa lita 3 na nikawa naimbia akili yangu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.