imenisaida maana kuanzia hapo hadi na hadi leo sijawahi kupata usumbufu mahali popote iwe form 4 chuo au kazini au nida maana vyeti vyangu vyote au vitambulisho vina majina matatu
Nilipokuwa darasa la 4 18 years ago nilianza kutumia majina matatu maana nilikuwa najua hili jambo na nilipata mawazo hayo baada ya kuangalia cheti changu cha kuzaliwa wengine tunamakarama yaan maono tunaona future:3Heading:
Sio ushahidi tu huyo Yesu mwenyewe hajawahi kuwepo hizo ni hadithi za kubuni watu wamekopi kutoka ktk dini ya ugiriki ya kale na Hindu na wakristo na waislam wakaiba huko kumbuka Hindi na Greek na Misri ndio zilikuwa dini kubwa kabla ya evolution ya Babel
Kwa mujibu wa quran na ukristo kurogwa kuna wezekana kuna watu kibao wamerogwa katika historia ya ukristo na uislam mfano muhammad aliwahi kurogwa kwa kupitia kitana na ukiristo ndio usiseme hadi kumtoa jini wanafundisha kwa maana ushaelewa kuhusu uchawi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.