Recent content by Iblis Bin Shetan

  1. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    nacheza na akili zao tuu 😂😂
  2. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Watoto wa 2000 Almaarufu kama Gen Z uwezo wenu wa Akili ni mdogo kuliko vizazi vingine

    angalia ulivyokuwa na akili finyu yaan maelezo yangu yote umeona nyoka tu yaan nyie ndio wale wananyofoa andiko kwa kuchagua neno moja badala ya mstari wote soma vizuri andiko langu acha kunyofoa nyofoa Mimi nimesema ukiona mtu anashindwa kupambana na nature ujue ni dalili ya low iq wewe...
  3. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    uchawi haupo kwakuwa unawapata watu wenye akili finyu that's why tunawashangaa
  4. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    mie niliwahi kumtoa majini na mtu akapona alikuwa mama mmoja mtaan kwetu nilikuwa nasikia ana mapepo sijui majini mie nikaenda akiwa muislam namsomea sura ya majini na suratul baqra aya 102 Ile ya uchawi hapo lazima uyo jini atoke akiwa mkristo ndio rahisi natumia jina la kristo nachanganya na...
  5. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Zambia 2026: Hakainde Hichilema ashinda Urais kwa muhula wa pili

    Kosa lake ni kutaja Tanzania hapo ndio kuharibu maana sie na Zambia tunashare vitu vingi angeshinda mpinzan mambo yangekuwa ovyo sana Kati ya Tanzania na Zambia hivyo wanqnchi kulijua hilo wakaona wamchinje
  6. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Uchawi hakuna asililimia kubwa ni psychology tu ya akili yako ikanza kukubali basi Matokeo yake yanakuwa positive mawazo yako yana nafasi kubwa kuleta effect katk maisha yako
  7. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Watoto wa 2000 Almaarufu kama Gen Z uwezo wenu wa Akili ni mdogo kuliko vizazi vingine

    Hawa Gen z wapo legelege hata nyoka mende panya wanaogopa wakati mie enzi zangu hao nyoka nimeshaua sana tena peke yangu na ukiona mtu anashindwa kupambana na nature ujue hiyo ni dalili ya low iq
  8. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania 90% ya ukilaza wa mtoto chanzo ni wazazi

    Kila mtu na uwanja wake tukiwekwa darasani na Messi then tufundishwe hesabu Nina asilimia 100 hawezi nishinda katika hesabu nitamshinda hata tukifumdishwa miaka 10 hawezi nipita
  9. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Kama moto uligunduliwa na mwanadamu duniani je huko jehanamu/mbinguni ulifikaje?

    Sasa unaongea jambo halipo halafu unataka majibu hivi unaa akili wewe kitu hakipo halafu wewe unalizimisha kipo huoni unajipinga mwenyewe
  10. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Mke wangu hana hamu ya kufanya mapenzi na mimi. Nifanyeje?

    amka kuna mtu anamgonga huyo au hakupendi sie wengine mwanamke anaanza yeye kama Mm mara nyingi anaanza yeye kwakuwa muda mwingine nakuwa nachoka
  11. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Kama moto uligunduliwa na mwanadamu duniani je huko jehanamu/mbinguni ulifikaje?

    Acha papara nyie ndio mnawmbiwa andika t for true we unaandika true mtoa mada kasema mbinguni au jehannum na mie nauliza mbinguni ndio wapi yaan yeye nani kamuambia kuna mbinguni
  12. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha Husda, Chuki, Wivu,Ugomvi kati ya Waislamu wa Shia na Sunni. Na Shia huwadharau Sunni kwa kuwa wao wanaonekana wana Elimu na Akili

    Shia tunajielewa sio waislam oya oya sie hao Sunni hata elimu dunia hawataki
  13. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Kama moto uligunduliwa na mwanadamu duniani je huko jehanamu/mbinguni ulifikaje?

    Wewe nani aliekuambia kuna Mbingu
  14. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Wazee wa Ilala wamuomba raisi Samia kusaidia mgogoro wa Masjid Al Rishaad

    Sunni wanamatatizo sana sie shia tunawazoom tu wao ndio wanajiona wana haki yaan wanaona waislam wengine hamna kitu hawana tofauti na Sabato hawa
  15. Iblis Bin Shetan

    JamiiForums Tanzania Msaada sina kabisa nguvu za kiume

    Ilo tatizo mie lilishawahi kunikuta nikiwa na miaka 23 aisee niliteseka nilichofanya nikawa nafanya mazoezi ya kukimbia kila siku kilometre zaidi ya 6 nilianza taratibu badae nikawa master nikawa nakula kitunguu Swaumu kwa muda wa mwezi na maji ya kunywa lita 3 na nikawa naimbia akili yangu kwa...
Back
Top Bottom