Recent content by Iblis Bin Shetan

  1. Iblis Bin Shetan

    Mke wangu anapenda sana kuikalia wakati wakati wa kufanya mapenzi

    Akili yake ishalemaa kama hukumkuta bikra basi ujue hiyo ni ishara ya kumkumbuka mpenzi wake wa zamani ambae anampenda hadi leo
  2. Iblis Bin Shetan

    Nahisi mke wangu anajichua

    wanawake wa leo hawaridhiki sijui wana shida gani
  3. Iblis Bin Shetan

    Barua ya wazi kwa Mtume Mohammad (S A W)

    alivaa kilemba cha rangi ya udongo na nguo nyeupe ana ndevu nyingi na sura yake nyembamba alikuwa anatufundisha somo la phyisics
  4. Iblis Bin Shetan

    Barua ya wazi kwa Mtume Mohammad (S A W)

    Huyu jamaa alikuwa geneous kwa hakika japokuwa hakusoma mie nilimuona ndotoni akiwa anafundisha hadi sura yake nilimuona
  5. Iblis Bin Shetan

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Mie mshahara ukitoka hata siku 7 sitoboi ushaisha :D:D
  6. Iblis Bin Shetan

    Ndugu zangu Wakristo naomba ushahidi wa Aya za Biblia kuonyesha Yesu kwa kinywa chake akikiri kuwa alikuwapo kabla ya Uumbaji wa mbingu na nchi

    Ukiacha biblia kitabu cha uwongo na hadithi za kusadikika weka ushahidi yesu amewahi kuwepo duniani
  7. Iblis Bin Shetan

    Ndugu zangu Wakristo naomba ushahidi wa Aya za Biblia kuonyesha Yesu kwa kinywa chake akikiri kuwa alikuwapo kabla ya Uumbaji wa mbingu na nchi

    Sio ushahidi tu huyo Yesu mwenyewe hajawahi kuwepo hizo ni hadithi za kubuni watu wamekopi kutoka ktk dini ya ugiriki ya kale na Hindu na wakristo na waislam wakaiba huko kumbuka Hindi na Greek na Misri ndio zilikuwa dini kubwa kabla ya evolution ya Babel
  8. Iblis Bin Shetan

    Ila walimu wa shule za Serikali wanajiaibisha sana

    Hivi watanzania nyie tumewakosea nini sie walimu kila siku ni kutusimanga tu mnakera 😆😆😆
  9. Iblis Bin Shetan

    Wachawi ni noma hicho kimetoka kitandani anapolala mamaangu

    kabisa sasa mie ni kama Yakobo hakuna uchawi utakaoniroga
  10. Iblis Bin Shetan

    Wachawi ni noma hicho kimetoka kitandani anapolala mamaangu

    Kwa mujibu wa quran na ukristo kurogwa kuna wezekana kuna watu kibao wamerogwa katika historia ya ukristo na uislam mfano muhammad aliwahi kurogwa kwa kupitia kitana na ukiristo ndio usiseme hadi kumtoa jini wanafundisha kwa maana ushaelewa kuhusu uchawi
  11. Iblis Bin Shetan

    Wachawi ni noma hicho kimetoka kitandani anapolala mamaangu

    wachawi wanapata nguvu akikuroga alikuwa anatest mitambo akaumbuka mie sirogeki
  12. Iblis Bin Shetan

    Wachawi ni noma hicho kimetoka kitandani anapolala mamaangu

    Wachawi bhana sijui kwanini ukiwa mjinga mjinga ndio wanakuroga mie kuna wachawi wawili waliwahi kuniroga wakashindwa wakawa wanaiogopa sana huyo bibi mtaa mzima unamuogopa lakini nikimuona simuogopi namsalimia akinituma naenda watu wakawa wana shangaa nilichokuja kugundua kuna watu haturogeki :D:D
Back
Top Bottom