Hii wizara inafanya vitu bila kuwa na vission huwa inakurupuka tuu sometimes tutachoka na maamuzi yenu..
pesa zetu za application tuliokosa vyuo mmechukua hamjaturudishia..vijana tupo mtaani tuu hatuna mishe yoyote
kutokana na kutokuwa na msimamo mkawa mnaongozwa ongozwa tuu kama hamjaenda shule sasa tunachotaka rudisheni pesa zetu za application tulizo zitumiaga ktk maswala mazima ya kufanya application za ku apply vyuo ktk ngazi ya bachelor kutokana na kuto kukidhi vigezo vipya alivyo vipanga boss wenu...
Hawa jamaa inabidi warudishe pesa zetu kama vigezo vya kujiunga na Bachelor tulikosa haliakuwa tulifanya application mwezi wa Tano wakati GPA ilikuwa 2.7 na guide book ilikuwa inaonyesha hvyo na selection zimetoka tumekosa vyuo si warudishe pesa zetu.Dhuluma hii kama nacte wangekuwa wana msimamo...
pesa si tatizo wametupotezea muda wetu tukiwa tunasubiria kufanya application za vyuo kama wakitaka kurudisha pesa wanapaswa kulipa na fain sababu wamekaa na pesa zetu muda mrefu
wahanga tupo wengi mm nilifanya application kupitia nacte Mwezi wa Tano kabla hawajaweka vigezo vipya ilikiwa gpa ya 2.7 sasa hatujajua hatma yetu tutapata chuo au la na kama hatutopata pesa zetu zirudishwe maana hii nchi inafanya mambo yake kwa KIKI ni vyema tukafanya maisha mengine tuu diploma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.