Msamaria, pole mwanangu. Akili zao haziko sawa, hawa. MITHALI 28:16. Kumbuka akili ni kama injini inayoendesha ile milango 5 maarufu ya fahamu. Kama kichwani kuna shida, ngozi haiwezi kuhisi, pua haiwezi kunusa, ulimi hauwezi kuonja, masikio hayawezi kusikia kelele za wenye nchi, na wala macho...