Recent content by Ibambasi

  1. Ibambasi

    JamiiForums Tanzania Aliyegeuka Chatu

    Hii story ilitambaa sana na kwenye magazeti, hasa magazeti ya Fahari na Watu
  2. Ibambasi

    JamiiForums Tanzania Kampeni Tukufu ya No Reforms No Election yaendelea, Sasa imeanza Ukurasa mpya

    Karibu sana bwana ng'ombe nawe ukanyage
  3. Ibambasi

    JamiiForums Tanzania Kampeni Tukufu ya No Reforms No Election yaendelea, Sasa imeanza Ukurasa mpya

    Maendeleo hayana chama
  4. Ibambasi

    JamiiForums Tanzania Kampeni Tukufu ya No Reforms No Election yaendelea, Sasa imeanza Ukurasa mpya

    Daraja la Busisi limekamilika
  5. Ibambasi

    JamiiForums Tanzania Tetesi: CHADEMA chini ya Uongozi wa Lissu washindwa kuchangisha 180 million kwaajili ya uzinduzi wa mikutano nchi nzima

    DJ alishashindwa uchaguzi. Tulieni mzoee. Zamani ulionekana mwanachadema kindakindaki kumbe mpambe wa DJ. Nakala kwa Arushaone, Erythrocyte, Chakaza, Mshana Jr, Salary Slip,
  6. Ibambasi

    JamiiForums Tanzania Naanda mashtaka ya kumtimua Mh Lema Chamani.

    Wapambe wa Nkurunzinza mna kazi sana Molemo Arushaone Ngongo Chakaza
  7. Ibambasi

    JamiiForums Tanzania Inawezekana akina Lema, Lisu na Msigwa ndio walikuwa na mpango wa."kumpindua" Mbowe

    Kinyonge salama umejibu. Safari hii Nkurunzinza Hana pa kutokea na mnagawana mbao😁😁😁😂😂😂🤣🤣
  8. Ibambasi

    JamiiForums Tanzania Kumiliki maisha ya hadhi ya juu Tanzania ni ngumu bila kuwa sekta moja wapo kati ya hizi

    Ndiyo maana Nkurunzinza kajipata sana🤣🤣🤣😂😂😂
  9. Ibambasi

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti Mbowe, CHADEMA kuna biashara gani?

    Nimekusoma kamanda na nimekuelewa. Pamoja sana
  10. Ibambasi

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti Mbowe, CHADEMA kuna biashara gani?

    Nasubiri kwa hamu sana mgawane mbao
  11. Ibambasi

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 BAVICHA walipuka kwa shangwe Lissu akiingia Ukumbini. Kwa shangwe hili, Freeman Mbowe atatoboa kweli?

    Wakili msomi mbona huna furaha kwa TAL kugombea?
  12. Ibambasi

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti Mbowe, CHADEMA kuna biashara gani?

    ,Nilikuwa nimemasahau Kamanda Molemo. Erythrocyte na hao wenzake wamemeza fupa la moto, Nkurunzinza wanamtaka na TAL kakichafua. Tarehe 21/01 hakika wanagawana mbao😂😂😂😂😂
  13. Ibambasi

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti Mbowe, CHADEMA kuna biashara gani?

    Nkurunzinza anasemaje?
  14. Ibambasi

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti Mbowe, CHADEMA kuna biashara gani?

    Waione na waisome Erythrocyte Arushaone Chakaza na wapambe wote wa Nkurunzinza
  15. Ibambasi

    JamiiForums Tanzania Kamati Kuu CHADEMA imepoteza uhalali wa kuchuja wagombea

    Sasa hii saccos ndiyo unataka na yenyewe iongoze nchi?
Back
Top Bottom