Habar wana uwanja. M napenda sana somo la biology coz linanijuza jins mwili wangu unavyofanya kazi.
Napenda kujua ni nin kinachofanya mtu acheke?
Inakuwaje kuwaje mpaka mtu acheke {how}
Je kicheko ni kitendo cha hiari au sio? Na je ni response to stimulus au sio?.
Ni hayo tu wanauwanja
Watu wengine bwana. Acha kupost v2 usivyovijua. Unajidai kushadadia matokeo wakat hata kutumia booklet hujui. Tena inawezekana huijui. We nan kakwmbia kulikuwa na swal kama hilo? Umbea tu
Kama unafahamu kozi yoyote inayohusiana na masuala ya afya naomba unambie, naomba unambie pia chuo inakotolewa na qualifications zake. Ni muhimu tafadhal
Time will tell, tuvuten subira tujajua zp mbich na zp mbivu. Af tabia ya kuzusha habar za uongo kuhusu matokeo sio nzuri. Kama huna uhakika na unachosema bora unyamaze tu, kuliku kuzusha zusha tu
Nadhan hayuko interested sana na sex, hata hvyo kuwa wapenz c lazima msex mbaya zaid hamjaoana. Achen uzinzi. Kingine ni kwamba kwel kuna uwezekano ikawa haumridhishi mwenzio.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.