Blaros kida
Member
- Jan 29, 2013
- 50
- 2
Of course from my curious habari ya shule za kata kuwa chni imenitisha meen coz ndio nilizosomea god bless me in almight!!
Habari wana jf kwa tetec nilizopata matokeo yatakuwa displayed tar 08/02.
Duu!!
Sasa kwanini serikali isiyachakachue ili ufaulu uwe wa kiwango cha kutisha kuwahi kutokea, halafu akina Kinana na Nape kule Kigoma waongeze mtaji wa kisiasa baada ya ile zuga ya kupanda treni, pia kuunadi ufaulu huo wakati wa kuomba kura 2015?
umepata wapi wewe ni uzushi tu kutupa watu vijoto VYA BURE SI POA m2 wangu 2lia matokeo si mchezo
Tetesi: matokeo yanatangazwa leo