Najaribu kufikiri kuwa kuna namna Viongozi wa Kisiasa ni lazima nao wawe na taaluma ya Uongozi (Governance) kama wanavyo toa matamko kwa waandishi wa Habari
Elimu Elimu Elimu. Hii kitu inatukomboa na mambo mengi hususani kama haya ambayo yanahitaji pengine mtu aliyekwenda shule kuweza kutafsiri baadhi ya Sheria au mambo Fulani.
Unahisi Elimu ya madrasa pekee itaweza kutafasiri Sheria kama SHERIA?
Think out Loud🤔
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.