Rafiki zake wooote wanatuhuma hv watanzania tunawazaga nn yaan kumpigia debe mtu ambaye wote waliomzunguka kila mtu anakashfa yake jamani tuamke, hlf napoona kijana unakuwa minded fance ukizeeka lazima uwe chatu,
Jaman hata EL angekuwa mkweli why asitoboe ukweli wote wa Richmond na hapo ndipo kashfa ya ufisadi itamuepuka lkn anapokaa kimyaa sasa anapokaa kimya anamaanisha nn, mtu anayetaka kugombea nafasi kubwa namna hiyo ya uongozi hlf ana tuhuma kubwa ya ufisadi na hataki kuutolea ufafanuzi wkt alisema...
Halafu as journalist unapopata taarifa hutakiwi kuitoa kwa kuegemea upande mmoja na ushasema ni tetesi mbn km kwa upande mwingine ushaziamini tayari, kwa hiyo hata c wanajaJF unataka tuwe upande upi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.