Recent content by IamHumble

  1. IamHumble

    Niunganisheni na yule Mtanzania aliyefungua Mgahawa Sweden nikaoshe Vyombo. nina Diploma ya Catering

    Mkuu, kutamka neno "anzisha" sio tabu...tabu mtaji ndugu....sina hata buku hapa. nafatilia uzi wangu kupitia simu ya jirani aisee.
  2. IamHumble

    Niunganisheni na yule Mtanzania aliyefungua Mgahawa Sweden nikaoshe Vyombo. nina Diploma ya Catering

    Ntashukuru sana mkuu...yaani ntashukuru sana. Plz jitahidi and make it fast. I'm starving.
  3. IamHumble

    Niunganisheni na yule Mtanzania aliyefungua Mgahawa Sweden nikaoshe Vyombo. nina Diploma ya Catering

    Mkuu, naelewa kabisa swala zima la kujiajiri...tatizo mtaji baba...
  4. IamHumble

    Niunganisheni na yule Mtanzania aliyefungua Mgahawa Sweden nikaoshe Vyombo. nina Diploma ya Catering

    Mkuu nimeapply sana hapa Mwanza na hadi mikoa mingine...sasa katika kufikirisha ubongo zaidi ndio nikakumbuka kuna Mtanzania mwenzangu ni Chief huko Sweden...anaweza nisaidia
  5. IamHumble

    Niunganisheni na yule Mtanzania aliyefungua Mgahawa Sweden nikaoshe Vyombo. nina Diploma ya Catering

    Dah ndugu Sweden nimeenda lini? mie nilisoma habari za Mtanzania aliyefungua Mgahawa Sweden...so nimeona hiyo ni fursa kam tu nitawasiliana nae na kumweleza CV yangu mdogo wake niliyepo Tanzania. niko Mwanza
  6. IamHumble

    Niunganisheni na yule Mtanzania aliyefungua Mgahawa Sweden nikaoshe Vyombo. nina Diploma ya Catering

    Mkuu kwakweli sina tatizo zaidi ya kukoswa kazi. Uzoefu huo mwaka mmoja nilifanya Ilboru Safari Lodge na miaka 3 nimefanya Malaika pale Mwanza...ni kwamba ni ajira tu ndo zimekuwa ngumu mkuu...
  7. IamHumble

    Niunganisheni na yule Mtanzania aliyefungua Mgahawa Sweden nikaoshe Vyombo. nina Diploma ya Catering

    Wakuu, Mimi ni msomi wa ngazi ya Diploma; Hotel Management & Catering na nina uzoefu wa miaka 4. Naombeni kwa yeyote anayemfahamu au mwenye mawasiliano na yule Mtanzania mwenzangu aliye fungua Mgahawa/Restaurant nchini Sweden niende nikawe hata Muosha vyombo maana nimehangaika sana sipati kazi...
  8. IamHumble

    Waziri Mkuu aagiza kaburi la Faru John lifukuliwe

    Nimewaza tu na sina nia kumvunjia mtu yeyote heshima, lakini hainiingii akilini kwa mtu kama Waziri mkuu wa Nchi Mh. Majaliwa kuwaza Wanyama (Pharu John & Co) kuliko wapigania Haki za wananchi waliomuweka hapo alipo. #FreeThinking
Back
Top Bottom