Recent content by Iam__junior

  1. Iam__junior

    Msaada kuhusu submitted na confirmed NACTE

    anaandikiwa SUBMITTED Ipo hv SUBMITTED means unachangamoto kwenye mitihan yako after NACTE kuchek inaweza kuwa sup, RM, Disco, Incom… etc
  2. Iam__junior

    Msaada kuhusu submitted na confirmed NACTE

    Hiyo kwenye matokeo ya kubandikwa kama ni chuo ila ukija kwenye website ya NACTE alichosema jamaa ni sahihi CONFIRMED means Pass SUBMITTED upo Sup Au RM
  3. Iam__junior

    Uchaguzi Wa Kozi

    Thanka[emoji120]
  4. Iam__junior

    Uchaguzi Wa Kozi

    Habari Wana JF. Naomba Kuuliza Kipi Hupewa Kipaumbele Katika Uchaguzi Wa Kozi.?? Ama Nini Mtu Aweze Kuangalia Katika Uchaguzi Wa Kozi.?? NB:Achana Na Ajira
  5. Iam__junior

    Kozi zipi za ziada unaweza soma wakati unachukua degree ya udaktari?

    Hahahahaha,, muhimbili huku bada acha tu ni sio as a student ili ni up-doctor kabisa no time to wast for sure
  6. Iam__junior

    Kozi zipi za ziada unaweza soma wakati unachukua degree ya udaktari?

    ni wazo pia. ila sio hadi kufikia kuacha chuo ila unaweza kugawa BOOM na kuweka kwenye biashara hilo watu wanafnya na sio kuacha kabisa chuo. ko kam kufanya biashara aligawe tu hilo boom km unmshauri ishu ya biashara
  7. Iam__junior

    Kozi zipi za ziada unaweza soma wakati unachukua degree ya udaktari?

    kwa upande wangu naona kama muda unao wa kutosha tafuta short course hasa kwa vitu unavyoona we mwenyew vitakusaidia kwa namna moja ama nyingine wakati wa kazi au hata kam ujapata kazi baada ya kumaliza. Mimi pia nasoma udaktari ila nasoma short course ya graphic design na nitaendelea hata...
Back
Top Bottom